Baruwa ya mzunguko - Aprili/Mei 2019
Ujumbe mbele ya kuja kwa pili kwa Kristo
Font Face
Line Height
Paragraph Gap
Font Size
Kwa uhakika Kama vile BWANA Mungu aliahidi kumtuma nabii sawa na Eliya mbele ya siku ya kuogopesha ya BWANA kifika (Mal 4:5, Mat 17:11), na ni Kweli vile kwamba ahadi hii imetimia kwa wakati wetu. Kama vile waandishi wawakati ile walivyo pofushwa kiroho na wasitambue utimilifu was unabii uliotolewa katika Isa 40:3 na Mal 3:1, vile vile na Leo viongozi za kikristo wa leo, hawata mbue utimilifu wa maahadi za mhimu za wakati wetu. Naheshima kibwa mbele ya Mungu na mbele ya neno la Mungu tuna amini ushuhuda wa maagizo aliyo yipewa William Branham tarehe, Juni, 11, 1933.
Yoyete asiye heshimu Yale ambayo BWANA amefanya kwa wakati wetu anapita kinyume ya Yale Mungu anayo yafanya kwa sasa. Myaka 85 imekwisha pita tangu 1933. Tarehe 11 June, nyuma ya saa sita, karibu saa nane, wakati kijana muinjilisti William Branham alipokuwa akibatiza wale walio kubali, wingu kubwa ya kimbinguni, ilishukawazi wazi just ya mutu waMungu mbele ya macho ya watu waliokuwa happy, alipokuwa akisimama ndani ya muto Ohio, akitaka kumubatiza mutu wa kumi na Saba. Katika sautikubwa yenye nguvu iliyo sikilikana, akaambiwa maneno yafwatayo:
„Kama vile Yohana mbatizaji alikuwa mtangulizi wa kutayarishakuja kwa Kwanza kwa Kristo, vile ujumbe wako utatangulia kutayarisha kuja kwake kwa pile katika dunia nzima.“ Hiyo ndiyo ndugu Branham alitanagaza tarehe Julai, 14, 1963.
Tarehe Disemba, 29, 1963 alisema ndani ya mahubiri yake: „Mimi siwezi kufanya, lakini ujumbe huu ndio utakaye mwonyesha Yesu Kristo duniani. »kama vile Yohana mubatizaji alivyo tumwa kutanguli kutayarisha kuja kwa Kwanza kwa Kristo vivyo ujumbe itatangulia kutayarisha kuja kwa pili…« Nina jua ita kuwa. Ujumbe utaendelea mbele.“
Na nukuu ya tatu „Sauti ilisema, Kama vile Yohana mubatizaji alitumwa kutangulia kuja kwa Kwanza kwa Kristo, ujumbe wako utatangulia kuja kwake kwa pile ndani ya dunia nzima.“ (Februari, 19, 1965)
Kila kauli inapashwa jengwa kwa ushuhuda wa wawili ao watatu (2Kor 13:1). Na ndiyo maana tumetoa kauli mitatu katika maneno yaliyotoka kinywani mwa ndugu Branham akilinganisha kwayale aliyo yasikia toka katika wingu kubwa la kimbinguni. Inahusu toleo ya Kweli kwa Kutumwa kwa kimungu, nikusema kuleta ujumbe inayo simamia kwenye maandiko matakatifu.
Maramoja tena tunalinganisha toleo lililo ngengwa ya kimalekani wanasema neno „Ujumbe" haipatikane: „Kama vile Yohana mubatizaji alivyo tumwa kutangulia kwa Kwanza, vile utangulia kuja kwa pili kwa Kristo.“
Ndugu Branham akilinganisha zaidi yaMara 80 kwa Ufunuo 22:18-21 akionyesha kwamba hakuna anaye weza kutoa ao kuongeza neno hata moja. Joka wakale katika Mwa 3:1 aliongeza neno moja tu kwa yale ambao BWANA Mungu alikuwa amesema katika Mwa 2:16-inayo itwa „la“. Nahivyo ndivyo ginsi zambi ya asili, anguko ilifika. Yeye anaye amini toleo lilitegwa na kuyibiri hivyo analinganishwa na Hawa ginsi alivyo danganywa akijisumbuwa kwa maoni yake. Kwao neno hili Paulo alili andika linatimia Katika 2 Wak 11: „Lakini naogoba ya kwamba, Kama yule nyoka alivyo mdaganya Hawa kwa hila yake, asije aka waharibu fikira zenu, mkauachia unyofu na usafi kwa Kristo.“ (Shahi 3)
Kupitia kifo Cha ndugu Branham tarehe Disemba, 24, 1965, sehemu ya Kwanza ya mpango ya okovu ilifika mwisho, yaani kuleta ujumbe wa kizazi hii. Alileta ujumbe lakini hakuyi chukuwa kwenye inchi zingine, hata na kumwisho ya dunia. Ni baada ya kifo chandugu Branham ujumbe halisi ulichukuliwa kwenye inchi zote na kwa Kila lugha za dunia nzima Kama vile ilivyo haidiwa ndani ya sehemu ya pili ya kutumwa kwa siku Juni, 11, 1933 na Kama vile ndugu Branham ametuachiaKama „ASEMA BWANA“.
Wale „wanao jiita wasomi wa ujumbe“ wameketi katika kiketi Cha nabii wanaleta fundisho ya uongo moja baada ya ingine, kupitia kuelewa vibaya nukuu. Ile ilianza na mafundisho ya kusema kwamba Mambo yote yatakwisha kwa mwaka 1977 na ile inaendelea mpaka sasa.
Inastahili kusemeka ya kwamba hakuna mahali katika Biblia inayo sema kuhusu hudma ndani ya hema kwamba nabii, baada ya kufufuka kwake atamaliza siku 30 mbele ya Unyakuo.
Hakuna kilicho andikwa ndani ya neno la Mungu kuhusu mafundisho mbali mbali ya ngurumo Saba ama hata kuhusu fundisho ya watu Saba waajabu watakao sema Kama ngurumo.
Hakuna hata nafasi katika maandiko matakatifu kunako semeka ya kwamba mihuri ilipofunuliwa kwa mwezi ya Marchi, 1963 kwamba mwana kondoo aliacha kiti Cha rehema na kwamba alishuka kaomba wale aliyo wakombowa. Kwa uhakika hiyo sikweli. Katika kila kizazi Cha kanisa BWANA anaweteule wake washindaji ambao wataishi milele kwenye utukufu. Hivyo ndivyo inaandikwa Mara Saba ndani ya Ufu 2 na 3, Katika ujumbe Saba kwa makanisa. Amen. „Ashindae…“ Amen.
Ahadi ya mwisho ni yetu: „Yeye ashindae nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi.“ (Ufu 3:21)
Siyokweli kwambaUfunuo 10 inaweza kuwa imetimia na Kama malaika wa Agano akizungukwa na upinde.
Wakati anakuja Kama malaika wa Agano, ataweka miguu yake kwa nchi na juu yake kwa ya bahari akiapa kwamba hapata kuwa na wakati baada ya haya. Wakati hayo yatatimia kutawa kunabaki myaka 3 1/2 Kama vile Danieli alivyo viona na kusikia ndani ya sura 12:7: „…wakati, nyakati na nusu ya wakati…“
Inaandikwa yakwamba anakuja kwa wayuda Kama vile malaika wa Agano. Hapo ndipo utimilifu waMal 3:1b: „…Naye BWANA mnaye mtafuta atalijia hekalu lake ghafula; naam, yule mjumbe mnaye mufurahia, angalia, anakuja, asema BWANA wa majeshi“. Tunamshuru Mungu kwa nuru ndani ya neno lake, kuona Kila ahadi iliyo andikwa ndani ya neno lake iko inatimilika kwa wakati wake.
Wote wanaoamini toleo lililo tengwa kwamba ndugu Branham ndiye atakuwa mutangulizi wa kuja kwa pili kwa Kristo wanaoamini matafsiri yao wenyewe. Orodha ya mafundisho ya uongo ingeweza kuendeleshwa. Hapo, ndipo Petro anaandika na utawala wa kimungu, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kutafsiriwa Kama apendao mtu Fulani (2Pet 1:20). Hakuna mteule hata mmoja atakaye amini fundisho la uongo. Wale walio teuliwa kabla dunia kuwekwa msingi hawawezi kudanganywa. Wanaona na kutambua kwamba ujumbe ingali inatangulia kurundi kwa Kristo, Kama vile BWANA alisema. Wame rudishwa kwenye neno na wanaaminitu yale ya liyo andikwa ndani ya Neno. Amena.
Kwa uhakika Kama vile BWANA Mungu aliahidi kumtuma nabii sawa na Eliya mbele ya siku ya kuogopesha ya BWANA kifika (Mal 4:5, Mat 17:11), na ni Kweli vile kwamba ahadi hii imetimia kwa wakati wetu. Kama vile waandishi wawakati ile walivyo pofushwa kiroho na wasitambue utimilifu was unabii uliotolewa katika Isa 40:3 na Mal 3:1, vile vile na Leo viongozi za kikristo wa leo, hawata mbue utimilifu wa maahadi za mhimu za wakati wetu. Naheshima kibwa mbele ya Mungu na mbele ya neno la Mungu tuna amini ushuhuda wa maagizo aliyo yipewa William Branham tarehe, Juni, 11, 1933.
Yoyete asiye heshimu Yale ambayo BWANA amefanya kwa wakati wetu anapita kinyume ya Yale Mungu anayo yafanya kwa sasa. Myaka 85 imekwisha pita tangu 1933. Tarehe 11 June, nyuma ya saa sita, karibu saa nane, wakati kijana muinjilisti William Branham alipokuwa akibatiza wale walio kubali, wingu kubwa ya kimbinguni, ilishukawazi wazi just ya mutu waMungu mbele ya macho ya watu waliokuwa happy, alipokuwa akisimama ndani ya muto Ohio, akitaka kumubatiza mutu wa kumi na Saba. Katika sautikubwa yenye nguvu iliyo sikilikana, akaambiwa maneno yafwatayo:
„Kama vile Yohana mbatizaji alikuwa mtangulizi wa kutayarishakuja kwa Kwanza kwa Kristo, vile ujumbe wako utatangulia kutayarisha kuja kwake kwa pile katika dunia nzima.“ Hiyo ndiyo ndugu Branham alitanagaza tarehe Julai, 14, 1963.
Tarehe Disemba, 29, 1963 alisema ndani ya mahubiri yake: „Mimi siwezi kufanya, lakini ujumbe huu ndio utakaye mwonyesha Yesu Kristo duniani. »kama vile Yohana mubatizaji alivyo tumwa kutanguli kutayarisha kuja kwa Kwanza kwa Kristo vivyo ujumbe itatangulia kutayarisha kuja kwa pili…« Nina jua ita kuwa. Ujumbe utaendelea mbele.“
Na nukuu ya tatu „Sauti ilisema, Kama vile Yohana mubatizaji alitumwa kutangulia kuja kwa Kwanza kwa Kristo, ujumbe wako utatangulia kuja kwake kwa pile ndani ya dunia nzima.“ (Februari, 19, 1965)
Kila kauli inapashwa jengwa kwa ushuhuda wa wawili ao watatu (2Kor 13:1). Na ndiyo maana tumetoa kauli mitatu katika maneno yaliyotoka kinywani mwa ndugu Branham akilinganisha kwayale aliyo yasikia toka katika wingu kubwa la kimbinguni. Inahusu toleo ya Kweli kwa Kutumwa kwa kimungu, nikusema kuleta ujumbe inayo simamia kwenye maandiko matakatifu.
Maramoja tena tunalinganisha toleo lililo ngengwa ya kimalekani wanasema neno „Ujumbe" haipatikane: „Kama vile Yohana mubatizaji alivyo tumwa kutangulia kwa Kwanza, vile utangulia kuja kwa pili kwa Kristo.“
Ndugu Branham akilinganisha zaidi yaMara 80 kwa Ufunuo 22:18-21 akionyesha kwamba hakuna anaye weza kutoa ao kuongeza neno hata moja. Joka wakale katika Mwa 3:1 aliongeza neno moja tu kwa yale ambao BWANA Mungu alikuwa amesema katika Mwa 2:16-inayo itwa „la“. Nahivyo ndivyo ginsi zambi ya asili, anguko ilifika. Yeye anaye amini toleo lilitegwa na kuyibiri hivyo analinganishwa na Hawa ginsi alivyo danganywa akijisumbuwa kwa maoni yake. Kwao neno hili Paulo alili andika linatimia Katika 2 Wak 11: „Lakini naogoba ya kwamba, Kama yule nyoka alivyo mdaganya Hawa kwa hila yake, asije aka waharibu fikira zenu, mkauachia unyofu na usafi kwa Kristo.“ (Shahi 3)
Kupitia kifo Cha ndugu Branham tarehe Disemba, 24, 1965, sehemu ya Kwanza ya mpango ya okovu ilifika mwisho, yaani kuleta ujumbe wa kizazi hii. Alileta ujumbe lakini hakuyi chukuwa kwenye inchi zingine, hata na kumwisho ya dunia. Ni baada ya kifo chandugu Branham ujumbe halisi ulichukuliwa kwenye inchi zote na kwa Kila lugha za dunia nzima Kama vile ilivyo haidiwa ndani ya sehemu ya pili ya kutumwa kwa siku Juni, 11, 1933 na Kama vile ndugu Branham ametuachiaKama „ASEMA BWANA“.
Wale „wanao jiita wasomi wa ujumbe“ wameketi katika kiketi Cha nabii wanaleta fundisho ya uongo moja baada ya ingine, kupitia kuelewa vibaya nukuu. Ile ilianza na mafundisho ya kusema kwamba Mambo yote yatakwisha kwa mwaka 1977 na ile inaendelea mpaka sasa.
Inastahili kusemeka ya kwamba hakuna mahali katika Biblia inayo sema kuhusu hudma ndani ya hema kwamba nabii, baada ya kufufuka kwake atamaliza siku 30 mbele ya Unyakuo.
Hakuna kilicho andikwa ndani ya neno la Mungu kuhusu mafundisho mbali mbali ya ngurumo Saba ama hata kuhusu fundisho ya watu Saba waajabu watakao sema Kama ngurumo.
Hakuna hata nafasi katika maandiko matakatifu kunako semeka ya kwamba mihuri ilipofunuliwa kwa mwezi ya Marchi, 1963 kwamba mwana kondoo aliacha kiti Cha rehema na kwamba alishuka kaomba wale aliyo wakombowa. Kwa uhakika hiyo sikweli. Katika kila kizazi Cha kanisa BWANA anaweteule wake washindaji ambao wataishi milele kwenye utukufu. Hivyo ndivyo inaandikwa Mara Saba ndani ya Ufu 2 na 3, Katika ujumbe Saba kwa makanisa. Amen. „Ashindae…“ Amen.
Ahadi ya mwisho ni yetu: „Yeye ashindae nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi.“ (Ufu 3:21)
Siyokweli kwambaUfunuo 10 inaweza kuwa imetimia na Kama malaika wa Agano akizungukwa na upinde.
Wakati anakuja Kama malaika wa Agano, ataweka miguu yake kwa nchi na juu yake kwa ya bahari akiapa kwamba hapata kuwa na wakati baada ya haya. Wakati hayo yatatimia kutawa kunabaki myaka 3 1/2 Kama vile Danieli alivyo viona na kusikia ndani ya sura 12:7: „…wakati, nyakati na nusu ya wakati…“
Inaandikwa yakwamba anakuja kwa wayuda Kama vile malaika wa Agano. Hapo ndipo utimilifu waMal 3:1b: „…Naye BWANA mnaye mtafuta atalijia hekalu lake ghafula; naam, yule mjumbe mnaye mufurahia, angalia, anakuja, asema BWANA wa majeshi“. Tunamshuru Mungu kwa nuru ndani ya neno lake, kuona Kila ahadi iliyo andikwa ndani ya neno lake iko inatimilika kwa wakati wake.
Wote wanaoamini toleo lililo tengwa kwamba ndugu Branham ndiye atakuwa mutangulizi wa kuja kwa pili kwa Kristo wanaoamini matafsiri yao wenyewe. Orodha ya mafundisho ya uongo ingeweza kuendeleshwa. Hapo, ndipo Petro anaandika na utawala wa kimungu, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kutafsiriwa Kama apendao mtu Fulani (2Pet 1:20). Hakuna mteule hata mmoja atakaye amini fundisho la uongo. Wale walio teuliwa kabla dunia kuwekwa msingi hawawezi kudanganywa. Wanaona na kutambua kwamba ujumbe ingali inatangulia kurundi kwa Kristo, Kama vile BWANA alisema. Wame rudishwa kwenye neno na wanaaminitu yale ya liyo andikwa ndani ya Neno. Amena.