Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE

Swali La 1: Nimusimamo gani unayo kuhusu hudma ya Ndugu Branham?

« »

Jibu: Nina amini mwito wa kimungu na Uteme wa Wiliam Branham, aliyo ilinganisha siku Juni, 11, 1933 ao kwa Mai, 7, 1946 ao kuhusu matukio nyingine za kimaajabu. Jambo la muhimu ambalo ni ujumbe aliyo ipewa Ndugu Branham kwa mwaka 1933, ilikuwa ya kutayarisha kuja kwa pili kwa Kristo. Tuna yaona yakitimia ulimwenguni katika myaka hii 40 inayopita mpaka leo. Katika mazowezi aliyo ipata siku ya Mai, 7, 1946, Ndugu Branham alipewa alama mbili za kimaajabu kama vile alizo zipewa nabii musa (Kutoka4:1-9). Ili aweze kukubalisha mkutano utume wake wa Kimungu wa hapo hapo! Wakati mgonjwa alipokuwa akiuona ugonjwa wake kwa mufano kansa na tumor na mengineyo, magonjwa yote yalikuwa yakionekana kwa mkono ya Ndugu Branham, ambayo yalikuwa ya kipotea wakati ya uponyaji. Mushuhuda wamzuri sana ambaye niliye kutana alikuwa Reverande Gordon Lindsay na Mke we Lindsay, Ambaye alie niambia kwa kipekee, ambayo aliye yiona ikifanyika kwa muda wa myaka tatu, ambawo walitembea pamoja na Ndugu Branham. Kwa alama ya pili ya kimaajabu iliyo julikana kama “Alama ya kimesia“ katika mwaka wa 50 na 60, ilishuhudiwa na ma million ya watu (Ona Baruwa ya Mzunguko, Spring 2005). Nami ni mushuhuda nilieona kwa sababu nilihuzuria mikutano ya Ndugu Branham katika Ulaya, na hata katika Marekani, na ni naweza kushuhudia Hudma hii ya kimaajabu mbele ya Mungu na wanadumu karama ya kinabii isiyoshindwa, ambayo Mungu alimupa mtu wa Mungu, ilipata ushuhuda wa kimungu. Kupitia hudma ya Ndugu Branham nafsi nyingi ziliongozwa kwa Kristo na maelfu ziliponywa na kufunguliwa sababu ya imani yao.

Jibu: Nina amini mwito wa kimungu na Uteme wa Wiliam Branham, aliyo ilinganisha siku Juni, 11, 1933 ao kwa Mai, 7, 1946 ao kuhusu matukio nyingine za kimaajabu. Jambo la muhimu ambalo ni ujumbe aliyo ipewa Ndugu Branham kwa mwaka 1933, ilikuwa ya kutayarisha kuja kwa pili kwa Kristo. Tuna yaona yakitimia ulimwenguni katika myaka hii 40 inayopita mpaka leo. Katika mazowezi aliyo ipata siku ya Mai, 7, 1946, Ndugu Branham alipewa alama mbili za kimaajabu kama vile alizo zipewa nabii musa (Kutoka4:1-9). Ili aweze kukubalisha mkutano utume wake wa Kimungu wa hapo hapo! Wakati mgonjwa alipokuwa akiuona ugonjwa wake kwa mufano kansa na tumor na mengineyo, magonjwa yote yalikuwa yakionekana kwa mkono ya Ndugu Branham, ambayo yalikuwa ya kipotea wakati ya uponyaji. Mushuhuda wamzuri sana ambaye niliye kutana alikuwa Reverande Gordon Lindsay na Mke we Lindsay, Ambaye alie niambia kwa kipekee, ambayo aliye yiona ikifanyika kwa muda wa myaka tatu, ambawo walitembea pamoja na Ndugu Branham. Kwa alama ya pili ya kimaajabu iliyo julikana kama “Alama ya kimesia“ katika mwaka wa 50 na 60, ilishuhudiwa na ma million ya watu (Ona Baruwa ya Mzunguko, Spring 2005). Nami ni mushuhuda nilieona kwa sababu nilihuzuria mikutano ya Ndugu Branham katika Ulaya, na hata katika Marekani, na ni naweza kushuhudia Hudma hii ya kimaajabu mbele ya Mungu na wanadumu karama ya kinabii isiyoshindwa, ambayo Mungu alimupa mtu wa Mungu, ilipata ushuhuda wa kimungu. Kupitia hudma ya Ndugu Branham nafsi nyingi ziliongozwa kwa Kristo na maelfu ziliponywa na kufunguliwa sababu ya imani yao.