Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE
Swali La 4: Jee, unamkosowa Nabii kwa mambo Fulani Fulani?
Font Face
Line Height
Paragraph Gap
Font Size
Jibu: Namna gani mtu anaweza fikiria kwamba mimi naweza kukosowa hudma ya kinabii isiyo shindwa! Wakati yoyote nina kuta maelezo ya kimafundisho tofauti kama vile, zaidi ya misemo makumi saba tofauti kuhusu ngurumo na maelezo mengi kuhusu masomo ya mahubiri kwa muda tofauti, sina majibu mengine isipo kuwa kurudi kwenye neno la Mungu. Kuna jibu moja tu kwa kilaswali la kibiblia. Maelezo tofauti inaonyesha ya kwamba jambo hilo lilikuwa bado kufunuliwa vema, na halinge weza kuwa kwanafasi yake kamili.
Tuna ona hudma kamili ya kinabii, iliyo shuhudiwa na maono, ndugu Branham aliona, na kama muhubiri, tunaona kwamba alikuwa na hudma ya Uinjilisti, na pia tunaona kwamba alikuwa akingojelea mambo makuu ambayo Mungu alikuwa anatarajia kufanya. Alikuwa tena nabii alieahidiwa kulingana na Malaki 4:5-6. Mwenye angepashwa kuja mbele ya kurudi kwa Yesu Kristo na kuweka kila kitu kwa nafasi yake kamili, kama vile BWANA mwenyewe alivyo ishuhudia katika Mathayo 17:11 na Marko 9:12. Alikuwa Yule ambae angeliweza kurudisha mioyo ya watoto wa Mungu kwa fundisho la kimusingi ya Wababa yaani Mitume, kwa kuwa kupitia hudma yake katika kanisa la Yesu Kristo mambo yote yange pashwa kurudishwa ili kanisa irudishwe katika utaratibu wa kimungu. Manabii walikuwa wamekwisha tangaza mambo yote mbele, lakini mitume na waalimu tu, wao ndio walikuwa wanapashwa kuyaweka kwa utaratibu katika mpango wa okovu wa Mungu. Tunapashwa kuheshimu maamzi ya Mungu kwa kuweka hudma tofauti kwaajili ya kukamilisha kanisa (Waefeso 4:7-16) na mengineyo). Mambo ambayo haikukuwa kwa nafasi sasa yaweza kuwekwa kwa nafasi yake kamili kwa namna ya mfano ya kimungu.
Jibu: Namna gani mtu anaweza fikiria kwamba mimi naweza kukosowa hudma ya kinabii isiyo shindwa! Wakati yoyote nina kuta maelezo ya kimafundisho tofauti kama vile, zaidi ya misemo makumi saba tofauti kuhusu ngurumo na maelezo mengi kuhusu masomo ya mahubiri kwa muda tofauti, sina majibu mengine isipo kuwa kurudi kwenye neno la Mungu. Kuna jibu moja tu kwa kilaswali la kibiblia. Maelezo tofauti inaonyesha ya kwamba jambo hilo lilikuwa bado kufunuliwa vema, na halinge weza kuwa kwanafasi yake kamili.
Tuna ona hudma kamili ya kinabii, iliyo shuhudiwa na maono, ndugu Branham aliona, na kama muhubiri, tunaona kwamba alikuwa na hudma ya Uinjilisti, na pia tunaona kwamba alikuwa akingojelea mambo makuu ambayo Mungu alikuwa anatarajia kufanya. Alikuwa tena nabii alieahidiwa kulingana na Malaki 4:5-6. Mwenye angepashwa kuja mbele ya kurudi kwa Yesu Kristo na kuweka kila kitu kwa nafasi yake kamili, kama vile BWANA mwenyewe alivyo ishuhudia katika Mathayo 17:11 na Marko 9:12. Alikuwa Yule ambae angeliweza kurudisha mioyo ya watoto wa Mungu kwa fundisho la kimusingi ya Wababa yaani Mitume, kwa kuwa kupitia hudma yake katika kanisa la Yesu Kristo mambo yote yange pashwa kurudishwa ili kanisa irudishwe katika utaratibu wa kimungu. Manabii walikuwa wamekwisha tangaza mambo yote mbele, lakini mitume na waalimu tu, wao ndio walikuwa wanapashwa kuyaweka kwa utaratibu katika mpango wa okovu wa Mungu. Tunapashwa kuheshimu maamzi ya Mungu kwa kuweka hudma tofauti kwaajili ya kukamilisha kanisa (Waefeso 4:7-16) na mengineyo). Mambo ambayo haikukuwa kwa nafasi sasa yaweza kuwekwa kwa nafasi yake kamili kwa namna ya mfano ya kimungu.