Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE
Swali La 3: Maoni yako nigani, Kuhusu Ujumbe ya Wakati wa Mwisho?
Font Face
Line Height
Paragraph Gap
Font Size
Jibu: Ni naamini na moyo wangu wote na nafsi yangu yote Neno la kweli la Mungu kama vile lilo tangazwa na William Branham kupitia neno „Ujumbe wa wakati wa wisho“. Kama vile kwa wakati wa mtume Yohana nami na weza pia kusema: „Nihii ndiyo habari tuliyo isikia kwake, na kuyihubiri kwenu…“ (2. Yohana 1:5). Nina amini“Ujumbe wa wakati wa mwisho“ kulingana na neno liliandikwa la Mungu 100%. Ujumbe ni nene la Mungu halisi lililofunuliwa, pamoja na maahadi zote zilizo pewa kanisa la Yesu Kristo. Si amini tafsiri yoyote na teleo la uongo wanayoitilia kwa jina la“Ujumbe wa wakati wa mwisho“linalo onyeshwa na watu Fulani. Chochote kinacho toka kwa Mungu kinapatika tu katika mipaka ya neno la mungu. Na hailete matengano baali la ongeza bidii ya umoja wa waamini wa kweli katika miji na katika kila inchi na Duniani pote.
Jibu: Ni naamini na moyo wangu wote na nafsi yangu yote Neno la kweli la Mungu kama vile lilo tangazwa na William Branham kupitia neno „Ujumbe wa wakati wa wisho“. Kama vile kwa wakati wa mtume Yohana nami na weza pia kusema: „Nihii ndiyo habari tuliyo isikia kwake, na kuyihubiri kwenu…“ (2. Yohana 1:5). Nina amini“Ujumbe wa wakati wa mwisho“ kulingana na neno liliandikwa la Mungu 100%. Ujumbe ni nene la Mungu halisi lililofunuliwa, pamoja na maahadi zote zilizo pewa kanisa la Yesu Kristo. Si amini tafsiri yoyote na teleo la uongo wanayoitilia kwa jina la“Ujumbe wa wakati wa mwisho“linalo onyeshwa na watu Fulani. Chochote kinacho toka kwa Mungu kinapatika tu katika mipaka ya neno la mungu. Na hailete matengano baali la ongeza bidii ya umoja wa waamini wa kweli katika miji na katika kila inchi na Duniani pote.