Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE
Swali La 6: Jee, Unafundisha Tofauti Nayale ambayo Ndugu Branham ali fundisha?
Font Face
Line Height
Paragraph Gap
Font Size
Jibu: Kuna watu wanao zaniya kwamba nina fundisha mambo mengi yaliyo tofauti nayale ambao nabii alifundisha, lakini vile nilivyo sema mbele kwa maelezo ya mwisho nilionyesha ya kwamba ukweli nikatika neno la Mungu. Ninayo mahubiri yote ya Ndugu Branham na nimeyaelewa, na kwasababu ya hiyo ninajua nimaelezo gani aliyo yaeleza kuhusu somo lile.
Kamavile kwa mufano, “Majuma za myaka“ na sanasana kuhusu majuma“sabini za Danieli“wakati Ndugu Branham alisema kuhusu muda wawakati ya myaka saba na aliyo rudiliya kwa kusanyiko lote akisema, “Juma moja ina linganishwa na myaka saba.“ Alisema tena kuhusu myaka 3 kwa swali kama hilo nime sukumwa kuichunguza na maandiko ya Mungu ya hapo hapo. Wakati Ndugu Branham alipokuwa akilinganisha kwanyakati kati ya Unyakuo na utawala wa myaka Elfu, aliongea kuhusu myaka saba, nawakati alipokuwa akionyesha hudma ya manabii wawili wa lio ahidiwa kwa wayahudi, alisema kuhusu myaka 3. kama ni kuhusu fundisho, kurudilia maneno haitoshi, tuna pashwa yionyesha katika neno la unabii kwa mahali yake na nina wasihii, mufanye angalisho kwa nukuu ifwatayo: “Wakati juma ya saba inaanza, myaka saba, kanisa limenyakuliwa. Mwaweza kuona hayo ndugu zangu? Inuweni mikono yenu juu ikiwa mwa weza kuona hayo … wakati juma ya saba inaanza, nikusema myaka saba, kanisa imenyakuliwa. Sasa sikilizeni, na waambieni na kuyarudiliya maratena, ili musiweze kuyasahau. Hii ndiyo Roho mtakatifu ameweka kwa kalamu yangu nilipokuwa niki andika…“
Sasa tushike swali la 18 katika kitabu cha kingereza cha mihuri, Ukurasa wa 492, “Wakati a Agano la juma moja ya mwaka ya Danieli 9:27 itakapo timiya?“ Jibu ni hii: „Nusu ya agano hilo ilitimiya wakati yesu – Kristo alipokuwa duniani akiwa hubiri wa yahudi.“ Hapo aliyarudiliya yale ambayo wengine waliokuwa wa mesema mbele yake. Kwahiyo wacha tuweze kupata maelezo bora katika Danieli 9:24-27, ambapo tunaambiliwa vema kuhusu Juma sabini za miaka ambazo zina sehemu tatu (3): nikusema 7+62+1. Hiyo ndiyo ASEMA BWANA katika maandiko kuhusu Kristo, Masiya kwa shahiri ya 26, “Nabaada ya majuma sitini na mawili Masihi atakatiliwa mbali…“ Hili lilitimilika kwetu hapo Golgota. Baada ya hayo, katika sehemu ya pili ya shahiri la 26 tunasoma: „…na watu wa mkuu atakaye kuja wata uangamiza mjii na patakatifu…“ Hiyo inasema kuhusu TITUS ambaye alikuja namajeshi ya Waroma na kubomowa muji na Hekalu kwa mwaka wa 70. Katika shahiri la 27 inaongeya kuhusu mpinga kristo, hapana Kristo, “Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja: na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la Uharibifu…“
BWANA wetu alifanya Agano la milele pamoja nasi kupitiya Damu ya agano iliyo mwangika msalabani hapo karvari (Mathayo. 26:28, Marko. 14:24 na mengineyo). Kwamufano Yule anayeweza soma kitabu“ Uongozi, Utaratibu, nayale 431 ya Maswali na majibu atakuta kwamba, Ndugu Branham alikuwa na misemo (maelezo mengi) katika mahubiri yake tofauti. Maandiko yana tuonyesha kwamba masihi atakatiliwa mbali (Danieli. 9:26) baada ya majuma sitini na mbili ambazo zilizo tanguliya majuma za myaka. Sehemu ya kwanza ya shahiri hii kama vile tulivyo waonyesha mbele, inaonyesha wazi wazi Yesu-kristo, masihi, na sehemu ya pili ina onyesha Mufalme wa kirumani. Danieli. 9:27; inaonyesha waziwazi kuhusu Mpinga kristo, pamoja na Agano la myaka saba ambayo itakuwa“ Mapatano ya Kirumi“ juu ya Yerusalemu. Kwa nusu ya juma la kwanza, manabii wawili watatimiza hudma zao (Ufunuo. 11); na kwa nusu ya pili ya juma baada ya agano kuvunjwa, Mpinga kristo anatawala myezi 42 ya Mauwaji na kuleta vita ya kupiganisha watakatifu (Ufunuo. 13:1-10). Na kwa hiyo wakati ya ziki ya Wayahudi, watajiachiliya kuuwawa, kwaajili ya utimilifu wa sehemu ya pili ya Muhuri wa tano (Ufunuo. 6:9-11). Hii ni kulingana na ASEMA BWANA katika neno lake takatifu.
Jibu: Kuna watu wanao zaniya kwamba nina fundisha mambo mengi yaliyo tofauti nayale ambao nabii alifundisha, lakini vile nilivyo sema mbele kwa maelezo ya mwisho nilionyesha ya kwamba ukweli nikatika neno la Mungu. Ninayo mahubiri yote ya Ndugu Branham na nimeyaelewa, na kwasababu ya hiyo ninajua nimaelezo gani aliyo yaeleza kuhusu somo lile.
Kamavile kwa mufano, “Majuma za myaka“ na sanasana kuhusu majuma“sabini za Danieli“wakati Ndugu Branham alisema kuhusu muda wawakati ya myaka saba na aliyo rudiliya kwa kusanyiko lote akisema, “Juma moja ina linganishwa na myaka saba.“ Alisema tena kuhusu myaka 3 kwa swali kama hilo nime sukumwa kuichunguza na maandiko ya Mungu ya hapo hapo. Wakati Ndugu Branham alipokuwa akilinganisha kwanyakati kati ya Unyakuo na utawala wa myaka Elfu, aliongea kuhusu myaka saba, nawakati alipokuwa akionyesha hudma ya manabii wawili wa lio ahidiwa kwa wayahudi, alisema kuhusu myaka 3. kama ni kuhusu fundisho, kurudilia maneno haitoshi, tuna pashwa yionyesha katika neno la unabii kwa mahali yake na nina wasihii, mufanye angalisho kwa nukuu ifwatayo: “Wakati juma ya saba inaanza, myaka saba, kanisa limenyakuliwa. Mwaweza kuona hayo ndugu zangu? Inuweni mikono yenu juu ikiwa mwa weza kuona hayo … wakati juma ya saba inaanza, nikusema myaka saba, kanisa imenyakuliwa. Sasa sikilizeni, na waambieni na kuyarudiliya maratena, ili musiweze kuyasahau. Hii ndiyo Roho mtakatifu ameweka kwa kalamu yangu nilipokuwa niki andika…“
Sasa tushike swali la 18 katika kitabu cha kingereza cha mihuri, Ukurasa wa 492, “Wakati a Agano la juma moja ya mwaka ya Danieli 9:27 itakapo timiya?“ Jibu ni hii: „Nusu ya agano hilo ilitimiya wakati yesu – Kristo alipokuwa duniani akiwa hubiri wa yahudi.“ Hapo aliyarudiliya yale ambayo wengine waliokuwa wa mesema mbele yake. Kwahiyo wacha tuweze kupata maelezo bora katika Danieli 9:24-27, ambapo tunaambiliwa vema kuhusu Juma sabini za miaka ambazo zina sehemu tatu (3): nikusema 7+62+1. Hiyo ndiyo ASEMA BWANA katika maandiko kuhusu Kristo, Masiya kwa shahiri ya 26, “Nabaada ya majuma sitini na mawili Masihi atakatiliwa mbali…“ Hili lilitimilika kwetu hapo Golgota. Baada ya hayo, katika sehemu ya pili ya shahiri la 26 tunasoma: „…na watu wa mkuu atakaye kuja wata uangamiza mjii na patakatifu…“ Hiyo inasema kuhusu TITUS ambaye alikuja namajeshi ya Waroma na kubomowa muji na Hekalu kwa mwaka wa 70. Katika shahiri la 27 inaongeya kuhusu mpinga kristo, hapana Kristo, “Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja: na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la Uharibifu…“
BWANA wetu alifanya Agano la milele pamoja nasi kupitiya Damu ya agano iliyo mwangika msalabani hapo karvari (Mathayo. 26:28, Marko. 14:24 na mengineyo). Kwamufano Yule anayeweza soma kitabu“ Uongozi, Utaratibu, nayale 431 ya Maswali na majibu atakuta kwamba, Ndugu Branham alikuwa na misemo (maelezo mengi) katika mahubiri yake tofauti. Maandiko yana tuonyesha kwamba masihi atakatiliwa mbali (Danieli. 9:26) baada ya majuma sitini na mbili ambazo zilizo tanguliya majuma za myaka. Sehemu ya kwanza ya shahiri hii kama vile tulivyo waonyesha mbele, inaonyesha wazi wazi Yesu-kristo, masihi, na sehemu ya pili ina onyesha Mufalme wa kirumani. Danieli. 9:27; inaonyesha waziwazi kuhusu Mpinga kristo, pamoja na Agano la myaka saba ambayo itakuwa“ Mapatano ya Kirumi“ juu ya Yerusalemu. Kwa nusu ya juma la kwanza, manabii wawili watatimiza hudma zao (Ufunuo. 11); na kwa nusu ya pili ya juma baada ya agano kuvunjwa, Mpinga kristo anatawala myezi 42 ya Mauwaji na kuleta vita ya kupiganisha watakatifu (Ufunuo. 13:1-10). Na kwa hiyo wakati ya ziki ya Wayahudi, watajiachiliya kuuwawa, kwaajili ya utimilifu wa sehemu ya pili ya Muhuri wa tano (Ufunuo. 6:9-11). Hii ni kulingana na ASEMA BWANA katika neno lake takatifu.