Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE

Swali La 7: Jee, Unaami kufunuliwa kwa Mihuri Saba?

« »

Jibu: Ndiyo, Ninaamini kama mihuri saba ilifunuliwa kwa kimaajabu. Ndugu Branham aliniambia kwa kipeeke kwa mwanzo wa Disemba, 1962 kwamba yeye na jamaa yake wataenda huko Tucson kwa mwezi wa Januari 1963. Alikuwa ameabiliwa katika Ono, kwamba wakati utakapo fika wa kwenda huko Tucson, niwakati kazi ya upanuaji wa barabara uta kapo anza hapo mahali hapo uzio wake dongo utakapo bomolewa nakuangushwa chini na mashini za kutengeneza barabara zikizunguka barabarani. Kwamuda huo nilijioneya na macho yangu mwenyewe kazi hiyo kwenye barabara na uzio jinsi ulivyo angushwa chini kwenye udongo. Ndugu Branham alipewa Ono siku 22 Disemba 1962 kuhusu kuonekana kwa wingu kuu la kimaajabu, ambalo alikuwa amelizungumzia katika mahubiri yake ya siku 30 Disemba na suku 28 Februari 1963 alipo ambiwa kutoka katika wingu kuu la kimaajabu kuridi huko Jeffersonville, kwaajili ya kufunuliwa kwa Mihuri.

Jibu: Ndiyo, Ninaamini kama mihuri saba ilifunuliwa kwa kimaajabu. Ndugu Branham aliniambia kwa kipeeke kwa mwanzo wa Disemba, 1962 kwamba yeye na jamaa yake wataenda huko Tucson kwa mwezi wa Januari 1963. Alikuwa ameabiliwa katika Ono, kwamba wakati utakapo fika wa kwenda huko Tucson, niwakati kazi ya upanuaji wa barabara uta kapo anza hapo mahali hapo uzio wake dongo utakapo bomolewa nakuangushwa chini na mashini za kutengeneza barabara zikizunguka barabarani. Kwamuda huo nilijioneya na macho yangu mwenyewe kazi hiyo kwenye barabara na uzio jinsi ulivyo angushwa chini kwenye udongo. Ndugu Branham alipewa Ono siku 22 Disemba 1962 kuhusu kuonekana kwa wingu kuu la kimaajabu, ambalo alikuwa amelizungumzia katika mahubiri yake ya siku 30 Disemba na suku 28 Februari 1963 alipo ambiwa kutoka katika wingu kuu la kimaajabu kuridi huko Jeffersonville, kwaajili ya kufunuliwa kwa Mihuri.