Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE

Swali La 12: Kwa nini ndugu Braham maranyingi alijilinganisha na Ufunuo 10:7?

« »

Jibu: Nimushangao kuona karibu nusu ya maswali yote yana ulizwa kwa namna moja yakieleza kwa Ufunuo 10. Twaweza fanya angalisho tena kwa yale ambayo yalisemeka: Alipokuwa akiongea ku Ufunuo 10:7, alirudilia akisema kwa uwingi kuhusu “Masiri“, haiko kuhusu “siri moja“, ambayo ni “siri ya Mungu“. Ndugu Branham alifanya hayo, kwa kuwa yeye ndie aliekuwa mjumbe wa kanisa la kizazi cha saba, ambamo siri zote zilizo fichwa kupitia yeye. Katika mahubiri yake: „Je mabwana hii ndiyo wakati?“ ya siku 30 Disemba 1962, ndugu Branham alitoa masiri kumi na saba tofauti ambayo zilizo funuliwa. Alianzana na“siri ya Ufalme wa Mungu“na anamaliza na“siri ya kurudi kwa nguzo ya moto“. Yesu kristo ndiye Siri ya Mungu. Hii tunaikuta ikishuhudiwa na 1. Timotheo 3:16 ambapo tunasoma kuhusu“siri ya Mungu“ni katika musemo ya umoja. Wayuda hawa kukubali ufunuo na kuonekana kwa Mungu moja wa kweli katika Yesu Kristo, na mpaka sasa hawaja litambua. Ila kanisa la Agano Jipya lilijua siri ya Mungu toka mwanzo (Wakolosai. 2:2-3, na mengine yo).

Kwa wakati tukiyo hili la ajabu “Siri ya Mungu“ linafikia mwisho, wayuda wataingizwa, kamavile ilivyo funuliwa kwa watumwa wake, manabii. Wakati kanisa la agano Jipya linaonyeshwa, tunasoma neno Mitume na Manabii kwa sababu kanisa la Yesu Kristo limejengwa kwa musingi wa mitume na manabii (Waefeso. 2:20). Wakati kitu kina semeka kuhusu Wayuda, yenye inasikilikana ni kama vile alivyo wafunulia watumishi wake manabii“ (Amosi 3:7). Baada ya matangazo katika Ufunuo 10:7, Yohana angeli kula kitabu kinacho funguliwa na aliagizwa: „Unastahili tabiri mara tena…“ Kwa sura 11, manabii wawili wa Israeli watatabiri muda wa myezi 42 huko Yerusalemu, inayo lingana na miaka mitatu na nasu. sihiyo yiko wazi wazi?

Kwa sura ya 8 na 9, ndimo tunapo kutana baragumu sita za kwanza za hukumu na kwa sura ya 10 kunapatikana taganzo.Utimilifu wa kweliwa hio iko kwa sura ya 11, mustari wake 15: „Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema ufulme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa BWANA wetu na Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.“

Tunastahili kuheshimu utaratibu wa Kiungu unayo oneshwa kwetu katika neno la Mungu. Baada ya baragumu ya saba kulia hapo tuna soma: „…kasirani ambao itakuja, na wakati ya hukumu kwa wale waliokufa…kama vile “…kuwapa malipo watumwa wake, manabii, na watakatifu…“ (Ufunuo.11:15-19). Niya muhimu sana kujua kwamba neno la kihebrania “Shofar“ imetafsirssiwa katika biblia zetu kama“Baragumu“, kulingana na muhuri wa saba na malaika saba wenye baragumu, tangu sura ya 8:2 na kupitia sura 9, na sura ya 10:7 mpaka sura ya 11:15, hii neno “Shofar“ imetumikishwa mara 11. Hizi “Shofar“ (baragumu) tatu za mwisho, zina tangazwa kama vile “sauti“, zinapatikana katika Ufunuo 8:12 na pia katika Ufunuo 10:7: „Ole, ole wao wakaao juu ya nchi!kwa sababubu ya sauti zisaliazo za baragumu za malaika watatu, walio tayari kupiga baragumu!“ (Ufunuo 8:13).

“…isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapo kuwa tayari kupiga baragumu…“ (Ufunuo 10:7)

Jibu: Nimushangao kuona karibu nusu ya maswali yote yana ulizwa kwa namna moja yakieleza kwa Ufunuo 10. Twaweza fanya angalisho tena kwa yale ambayo yalisemeka: Alipokuwa akiongea ku Ufunuo 10:7, alirudilia akisema kwa uwingi kuhusu “Masiri“, haiko kuhusu “siri moja“, ambayo ni “siri ya Mungu“. Ndugu Branham alifanya hayo, kwa kuwa yeye ndie aliekuwa mjumbe wa kanisa la kizazi cha saba, ambamo siri zote zilizo fichwa kupitia yeye. Katika mahubiri yake: „Je mabwana hii ndiyo wakati?“ ya siku 30 Disemba 1962, ndugu Branham alitoa masiri kumi na saba tofauti ambayo zilizo funuliwa. Alianzana na“siri ya Ufalme wa Mungu“na anamaliza na“siri ya kurudi kwa nguzo ya moto“. Yesu kristo ndiye Siri ya Mungu. Hii tunaikuta ikishuhudiwa na 1. Timotheo 3:16 ambapo tunasoma kuhusu“siri ya Mungu“ni katika musemo ya umoja. Wayuda hawa kukubali ufunuo na kuonekana kwa Mungu moja wa kweli katika Yesu Kristo, na mpaka sasa hawaja litambua. Ila kanisa la Agano Jipya lilijua siri ya Mungu toka mwanzo (Wakolosai. 2:2-3, na mengine yo).

Kwa wakati tukiyo hili la ajabu “Siri ya Mungu“ linafikia mwisho, wayuda wataingizwa, kamavile ilivyo funuliwa kwa watumwa wake, manabii. Wakati kanisa la agano Jipya linaonyeshwa, tunasoma neno Mitume na Manabii kwa sababu kanisa la Yesu Kristo limejengwa kwa musingi wa mitume na manabii (Waefeso. 2:20). Wakati kitu kina semeka kuhusu Wayuda, yenye inasikilikana ni kama vile alivyo wafunulia watumishi wake manabii“ (Amosi 3:7). Baada ya matangazo katika Ufunuo 10:7, Yohana angeli kula kitabu kinacho funguliwa na aliagizwa: „Unastahili tabiri mara tena…“ Kwa sura 11, manabii wawili wa Israeli watatabiri muda wa myezi 42 huko Yerusalemu, inayo lingana na miaka mitatu na nasu. sihiyo yiko wazi wazi?

Kwa sura ya 8 na 9, ndimo tunapo kutana baragumu sita za kwanza za hukumu na kwa sura ya 10 kunapatikana taganzo.Utimilifu wa kweli  wa hio iko kwa sura ya 11, mustari wake 15: „Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema ufulme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa BWANA wetu na Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.“

Tunastahili kuheshimu utaratibu wa Kiungu unayo oneshwa kwetu katika neno la Mungu. Baada ya baragumu ya saba kulia hapo tuna soma: „…kasirani ambao itakuja, na wakati ya hukumu kwa wale waliokufa…kama vile “…kuwapa malipo watumwa wake, manabii, na watakatifu…“ (Ufunuo.11:15-19). Niya muhimu sana kujua kwamba neno la kihebrania “Shofar“ imetafsirssiwa katika biblia zetu kama“Baragumu“, kulingana na muhuri wa saba na malaika saba wenye baragumu, tangu sura ya 8:2 na kupitia sura 9, na sura ya 10:7 mpaka sura ya 11:15, hii neno “Shofar“ imetumikishwa mara 11. Hizi “Shofar“ (baragumu) tatu za mwisho, zina tangazwa kama vile “sauti“, zinapatikana katika Ufunuo 8:12 na pia katika Ufunuo 10:7: „Ole, ole wao wakaao juu ya nchi!kwa sababubu ya sauti zisaliazo za baragumu za malaika watatu, walio tayari kupiga baragumu!“ (Ufunuo 8:13).

“…isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapo kuwa tayari kupiga baragumu…“ (Ufunuo 10:7)