Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE

Swali La 30: Jee, kitu chochote kilicho oneshwa katika ono chaweza kubaki pasipo utimilifu?

« »

Jibu: Inaeleweka vizuri jinsi kwa wakati wa ndugu Branham alipo kuwa angali hai, watu walingojea utimilifu wayale yote aliyo yaoneshwa katika maono. Lakini yawezekana ono linaweza kuwa limetimilika wala kutimilika kwa namna nyingine tofauti na namna walivyo kuwa wakingojea. Ndugu Branham alisema mara mia kuhusu“Hema“ akiilinganisha pamoja na Abraham na sara mpaka kufunguliwa kwa mihuri kwa mwezi ya machi 1963. Alikuwa akifanya hivyo alipokuwa akianza maombi kwenye mustari akionyesha kwamba alama hiyo yenyewe ilijirudia kwa wakati wetu katika Mwanzo 18, Hema ina semwa mara tano, Sara alikuwa katika Hema, wakati Bwana Mungu alipotoa Ahadi ya kuzaliwa kwa Isaka, wakati wa mustari wa maombi ndugu Branham alikuwa akigeuziya watu mugongo wake ili aweze kutambua kwamba Mungu Yule Yule yuko hapo, yeye anaye jua na kufunua siri za mioyo kama vile ilivyo fanyika kwa wakati wa Abraham, sasa ninaonya kila mmoja ili asiyifanye kuwa fundisho Fulani kwa kuwa ni vizuri tuache mambo yote kwa Mungu.

Inawezekana mambo ya kiroho ionyeshwe kwa mfano ya kimwili kama vile kwa mfano ndugu Branham alivyo jiona katika ono akichukuwa katika kanisa kila aina ya mboga, lakini maana ya kweli (tafsiri) lakweli lili kuwa ni chakula cha kiroho, neno lililo funuliwa kwa wakati wetu ambayo lingeli wekwa katika gala. Mutume Petro naye pia aliona katika ono kwenye kitambaa kila aina ya nyama na mandege etc. Tafsiri ya kiroho ilikuwa ni kwamba okovu ya Mungu ilikuwa inageukia mataifa pia (Matendo 10:9-22) Bwana wetu naye alionyesha mambo ya ufalme wa Mungu katika mifano na maneno ya vitu vinavyo onekana. Hapo ndipo alitangaza“mambo yaliyofichwa tangu musingi wa ulimwengu“ (Mathayo 13:34-35) Wandugu waliyo endelea kungojea utimilifu wa ono katika hema pamoja na ndugu Branham hakuna ahadi hata moja katika Biblia kuhusu hiyo. Hata katika maandiko matakatifu hatuna mfano wanabii mmoja alie fufuka na kuendelesha huduma yake. Nakwasababu hiyo, si ya kushangaza kuona wandugu kama hao hawawezi kuwa na itaji ya kuwa na ushiriki pamoja nasi kwa sababu sisi tuna pashwa tangaza wazi kwamba huduma ya ndugu Branham ili isha wakati ali chukuliwa katika utukufu. Kwa kuwa hawa kubali kitendo hicho wana kataa pia Yule ambae anatangaza kuwa amepewa mzigo na Mungu wa kuchukuwa ujumbe kwa mataifa wakimustaki kuwa mudanganyifu wa kupoteza bibi arusi na kuwa yeye ni Antikristo, kwa kuwa wanamuwazia kuwa“Anapinga Nabii“na kupinga mafundisho yote ya ngurumo na matokeo ni kukataliwa kwakuwa wao wana sema: „kwamba hakuna mtu anayestahili kusema ya kwamba ametumwa kupeleka ujumbe waneno lililo funuliwa kwa mataifa“sababu maoni yao ya kimafundisho inasema kwamba mambo yote yalikwisha pamoja na huduma ya ndugu Branham yote yalimalizika naye.“na hapo kwa muda“wana tumia mabishano yasiyo na mafaa wakitumia yale ambao nabii alisema na kusambaza mafundisho yao kwa namna isiyo faa.

Wanatumiya manukuu za ndugu Branham wakizigeuza kwa namna isiyo ya kweli. Ni njia gani ya maendeleokatika ujumbe! Kwa kweli matumaini kama hayo haina uhusiano pamoja na injili ya Yesu-Kristo. Bwana wetu Yesu hatajwi hata mara moja katika yale wanayo yatangaza na kungojea kwamba yatatimia, Matumaini ya uongo ambayo wamejishibisha wenyewe kwa mwisho itawapatisha haya na kukata tumaini, nina wasihi ndugu wapendwa ya kwamba mambo yote yanayo husu ufalme wa Mungu hayana uhusiyano na tafsiri ya mtu binafsi. Hapa tunataka tuangalie Musa na utume aliyo upewa kuongoza watu mpaka inchi ya ahadi, Hakuruhusiwa kuingia pamoja na kanisa la Islaeli. Kulingana na kumbukumbu la torati 34; aliruhusiwa kuona inchi yote akiwa juu ya mlima Nebo, lakini asiingiye ndani. Pamoja na ndugu Mehnert nilichukuwa taxi kutoka Amman na tulienda kwenye mlima Nebo tuliona mambo ya kushangaza kwa upande wetu wakulia tuliona Yeriko na kwaupande wa kushoto tuliona Enguedi na bahari ya kufa na mbele yetu Yerusalemu. Ninaweza kuya elewa namna gani yale ambayo Musa alishindwa! Kwa hivi njia za Mungu ni juu sana kwa ufahamu wetu. Kwa maoni ya mwili inaonekana kama Musa alikuwa hakumaliza kazi ya utume wake! Tunaitaji kuelewa kwa kiroho ili tuweze ku heshimu njia za Mungu na mipango yake. Tunaamini kwamba Mungu mwenyewe atamaliza kazi yake ya ukombozi kama vile alivyo panga kabla yakuwa musingi ya ulimwengu. Jambo la muhimu ni kubaki katika neno la Ahadi na kupata sehemu kwahiyo kwa sababu Imani ya kweli inapatikana tu katika maahadi za Mungu. Kulingana na maahadi za Mungu inaandikwa „Halikukosa kupatikana neno lolote katika ahadi zake njema aliyo ahidi kwa mkono wa Musa mtumishi wake“ (1. Wafalme 8:56). „Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni ndiyo tena kwa hiyo katika yeye ni Amina. Mungu apate kutukuzwa kwa sisi“ (1. Wakorintho 1:20). Wakati wakuja kwa kwanza kwa Kristo nabii aliye ahidiwa ndie alie kuwa mtangulizi lakini Bwana mwenyewe alitimiza kazi ya ukombozi hapo msalabani kalvari, hivyo ndivyo ilivyo hata sasa ndugu Branham alikuwa nabii alie ahidiwa kupitia yeye mambo yote yangepashwa kurudishwa tena kwa upya na kuyarudisha kwa na fasi yake halisi. Ujumbe ndiyo mtangulizi lakini ni Bwana mwenyewe ambae ata imaliza kazi ya ukombozi „maana Bwana atatimiza kazi yake Duniani bila kukawia kwaufupi katika utakatifu wake“ (Warumi 9:8).

Jibu: Inaeleweka vizuri jinsi kwa wakati wa ndugu Branham alipo kuwa angali hai, watu walingojea utimilifu wayale yote aliyo yaoneshwa katika maono. Lakini yawezekana ono linaweza kuwa limetimilika wala kutimilika kwa namna nyingine tofauti na namna walivyo kuwa wakingojea. Ndugu Branham alisema mara mia kuhusu“Hema“ akiilinganisha pamoja na Abraham na sara mpaka kufunguliwa kwa mihuri kwa mwezi ya machi 1963. Alikuwa akifanya hivyo alipokuwa akianza maombi kwenye mustari akionyesha kwamba alama hiyo yenyewe ilijirudia kwa wakati wetu katika Mwanzo 18, Hema ina semwa mara tano, Sara alikuwa katika Hema, wakati Bwana Mungu alipotoa Ahadi ya kuzaliwa kwa Isaka, wakati wa mustari wa maombi ndugu Branham alikuwa akigeuziya watu mugongo wake ili aweze kutambua kwamba Mungu Yule Yule yuko hapo, yeye anaye jua na kufunua siri za mioyo kama vile ilivyo fanyika kwa wakati wa Abraham, sasa ninaonya kila mmoja ili asiyifanye kuwa fundisho Fulani kwa kuwa ni vizuri tuache mambo yote kwa Mungu.

Inawezekana mambo ya kiroho ionyeshwe kwa mfano ya kimwili kama vile kwa mfano ndugu Branham alivyo jiona katika ono akichukuwa katika kanisa kila aina ya mboga, lakini maana ya kweli (tafsiri) lakweli lili kuwa ni chakula cha kiroho, neno lililo funuliwa kwa wakati wetu ambayo lingeli wekwa katika gala. Mutume Petro naye pia aliona katika ono kwenye kitambaa kila aina ya nyama na mandege etc. Tafsiri ya kiroho ilikuwa ni kwamba okovu ya Mungu ilikuwa inageukia mataifa pia (Matendo 10:9-22) Bwana wetu naye alionyesha mambo ya ufalme wa Mungu katika mifano na maneno ya vitu vinavyo onekana. Hapo ndipo alitangaza“mambo yaliyofichwa tangu musingi wa ulimwengu“ (Mathayo 13:34-35) Wandugu waliyo endelea kungojea utimilifu wa ono katika hema pamoja na ndugu Branham hakuna ahadi hata moja katika Biblia kuhusu hiyo. Hata katika maandiko matakatifu hatuna mfano wanabii mmoja alie fufuka na kuendelesha huduma yake. Nakwasababu hiyo, si ya kushangaza kuona wandugu kama hao hawawezi kuwa na itaji ya kuwa na ushiriki pamoja nasi kwa sababu sisi tuna pashwa tangaza wazi kwamba huduma ya ndugu Branham ili isha wakati ali chukuliwa katika utukufu. Kwa kuwa hawa kubali kitendo hicho wana kataa pia Yule ambae anatangaza kuwa amepewa mzigo na Mungu wa kuchukuwa ujumbe kwa mataifa wakimustaki kuwa mudanganyifu wa kupoteza bibi arusi na kuwa yeye ni Antikristo, kwa kuwa wanamuwazia kuwa“Anapinga Nabii“na kupinga mafundisho yote ya ngurumo na matokeo ni kukataliwa kwakuwa wao wana sema: „kwamba hakuna mtu anayestahili kusema ya kwamba ametumwa kupeleka ujumbe waneno lililo funuliwa kwa mataifa“sababu maoni yao ya kimafundisho inasema kwamba mambo yote yalikwisha pamoja na huduma ya ndugu Branham yote yalimalizika naye.“na hapo kwa muda“wana tumia mabishano yasiyo na mafaa wakitumia yale ambao nabii alisema na kusambaza mafundisho yao kwa namna isiyo faa.

Wanatumiya manukuu za ndugu Branham wakizigeuza kwa namna isiyo ya kweli. Ni njia gani ya maendeleokatika ujumbe! Kwa kweli matumaini kama hayo haina uhusiano pamoja na injili ya Yesu-Kristo. Bwana wetu Yesu hatajwi hata mara moja katika yale wanayo yatangaza na kungojea kwamba yatatimia, Matumaini ya uongo ambayo wamejishibisha wenyewe kwa mwisho itawapatisha haya na kukata tumaini, nina wasihi ndugu wapendwa ya kwamba mambo yote yanayo husu ufalme wa Mungu hayana uhusiyano na tafsiri ya mtu binafsi. Hapa tunataka tuangalie Musa na utume aliyo upewa kuongoza watu mpaka inchi ya ahadi, Hakuruhusiwa kuingia pamoja na kanisa la Islaeli. Kulingana na kumbukumbu la torati 34; aliruhusiwa kuona inchi yote akiwa juu ya mlima Nebo, lakini asiingiye ndani. Pamoja na ndugu Mehnert nilichukuwa taxi kutoka Amman na tulienda kwenye mlima Nebo tuliona mambo ya kushangaza kwa upande wetu wakulia tuliona Yeriko na kwaupande wa kushoto tuliona Enguedi na bahari ya kufa na mbele yetu Yerusalemu. Ninaweza kuya elewa namna gani yale ambayo Musa alishindwa! Kwa hivi njia za Mungu ni juu sana kwa ufahamu wetu. Kwa maoni ya mwili inaonekana kama Musa alikuwa hakumaliza kazi ya utume wake! Tunaitaji kuelewa kwa kiroho ili tuweze ku heshimu njia za Mungu na mipango yake. Tunaamini kwamba Mungu mwenyewe atamaliza kazi yake ya ukombozi kama vile alivyo panga kabla yakuwa musingi ya ulimwengu. Jambo la muhimu ni kubaki katika neno la Ahadi na kupata sehemu kwahiyo kwa sababu Imani ya kweli inapatikana tu katika maahadi za Mungu. Kulingana na maahadi za Mungu inaandikwa „Halikukosa kupatikana neno lolote katika ahadi zake njema aliyo ahidi kwa mkono wa Musa mtumishi wake“ (1. Wafalme 8:56). „Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni ndiyo tena kwa hiyo katika yeye ni Amina. Mungu apate kutukuzwa kwa sisi“ (1. Wakorintho 1:20). Wakati wakuja kwa kwanza kwa Kristo nabii aliye ahidiwa ndie alie kuwa mtangulizi lakini Bwana mwenyewe alitimiza kazi ya ukombozi hapo msalabani kalvari, hivyo ndivyo ilivyo hata sasa ndugu Branham alikuwa nabii alie ahidiwa kupitia yeye mambo yote yangepashwa kurudishwa tena kwa upya na kuyarudisha kwa na fasi yake halisi. Ujumbe ndiyo mtangulizi lakini ni Bwana mwenyewe ambae ata imaliza kazi ya ukombozi „maana Bwana atatimiza kazi yake Duniani bila kukawia kwaufupi katika utakatifu wake“ (Warumi 9:8).