Baruwa ya Muzunguko Aprili 2020

Kwaheri kwa masafari ya kilamwezi ya kimishonanari

« »

Katika myaka mingi, Kwa ujumla niweka kando wiki mbili za kila mwezi kwa safari za umishonari, kwa hiyo namna likuwa katika Zurich kwa mkutano kwa jumapili la mwisho, na katika Krefeld kwa wikendi ya kwanza. Kwa ujumla, Nilitumikisha maili ya milioni 15 za ndege katika mchakato. Vile, Niliweza kuhubiri katika miji mingi katika inchi 165 kwa Dunia yote.

Sasa Ni mefikia miaka 86, Igawa niko ndani ya uzima mzuri, miaka yangu imesimamesha kutembea, kuona, na kusikia, ni kusema safari murefu haziwezi wezekana. Igawa, kupitia mtandao, waamini wote kwa inchi zote wana weza kusikiliza mahubiri katika lugha tofauti na kushuhudia mkutano. Kwa jiya hiyo, uagalizi wakiroho kwa dunia yote imewezekana, kama vile waamini kutoka mudunia zima wanashuhudia na kushukuru.

Nina weza kusema: BWANA, acha sasa mutumishi wako eede kwa salama, kwasababu Ujumbe yamwisho imetanganwa ku Duniani yote. Macho yangu ameona utimilifu wa ahadi ya kipende cha wakati hii. Waamini wote wakweli wataishi kila kitu ambacho Mungu atafanya, mpaka mwisho. Aliahidi na ataitimiza.

Sana sana wale ambao walijiuga nasi kwa miaka kidogo iliopita kutoka ulimwenguni, Nina pendezwa ni wajulishe kwa machache kuhusu habari ya maisha yangu ya kiroho: Nilikuwa mhubiri katika kanisa la wapentekoste kutokeye mwaka wa 1952.

Wakati yangu yakwanza ya kukutana Ndugu Branham akwa, recepushioni ya hoteli kwa suku ya Juni, 15, 1955, Nabii aliniambia, “Uko mhubiri ya injili,“ akaonye kidolechake kushoto na kusema, “Mke wako anasimama hapo kwa kiigilio“. Hapo kapatiana mikono na tukaogeya kwa machache. kutoka mwaka wa 1958 kuedelea, Nilitafusiri mahubiri za Ndugu Branham kwa lugha ya kijerumani.

Tarehe Aprili, 2, 1962 BWANA Yeyemwenyewe akanipa Utume kupitia sauti yake yaajabu ya kuhubiri Neno katika miji yegine.

Hapo, Nilikuwa na mazugumuzo mlefu pamoja na Ndugu Branham siku ya Desemba, 3, 1962, ambao ilishuhudia kutumwa kwangu kupitia Ufunuo mbele yawa shuhunda wawili. Kisha, akaniomba kuhumbiri munafayake huko Los Angeles kwa Demos Shakarian na pia huko Earnest Hotton katika Oakland, Oregon. Akaniomba nitembelea Ndugu Henry Martin huko Edmonton, Canada, ikiwazekana, nafasi kwenye kanda zake za mahubiri zilikuwazinasikiwa. hapo akanipa manjina na nambari za wandugu. Kwa mwisho yamaogezi, aliniambia, “Ndugu Frank, kama unashika safari ya umishonari kwa India, uite Paul Lawrie. Alikuwa katika mkutano yangu huko Bombay, ni muinjilist na alikuja huku Amerika na kubatiziwa hapa kwe hekalu katika Jina la BWANA Yesu Kristo.“

Katika mwaka wa 1964, Nilifanya safari yangu yaumishonari huko India. Huko ninashuhudia namna maelfu za watu walikuja kwa mkutano, na karibu waamini miatatu walibatizwa nyuma ya mahubiri. Kwa njia yangu yakurudi, Ni katembelea Yordani na Israeli.

Kufarikini kwa Ndugu Branham kwa mwaka wa Desemba, 1965, kipande cha wakati wamuhimu kilifikia mwisho. Semu mpya ikaanza, na utangazaji wa Ujumbe ya Neno kuligana na kutuma kwa Mungu kwa dunia yote, kwanza ni katika Ujerumani, Austria, na Uswissi, Ulaya yote na nyuma Dunia yote. Kwa kuogeza kwa mahubiri katika mikutano ya kuambundu na mkutano, Ni tumikisha kila muda kwa utangazaji ya Neno lililofunuliwa kupitia Ma redio na ma televisheni, na kupitia Mabaruwa Zamuzunguko na ma brosha.

Kwa mazishi ya Nabii sikua ya Aprili, 11, 1966, Nilialika Ndugu Pearry Green kukuja na kushuhundia kile ambacho aliona na macho yake katika hudma ya Ndugu Branham na alikuwa nashuhudia katika mkutano. “Katika ono, ambao nabii aliona ya calenderi na yakusimamia kwa mwaka wa 1977. Ilitaganziwa yakwamba kilakitu kitamalizika kwa mwaka 1977 na unyakuo utagefanyika.“

Nilikuwa mutafurisi wake na nikatamu maneno kuhusu ile kalenderi katika Baruwa yangu yakwanza ya Muzunguko kwa mwaka wa 1966. Nyuma nikaguduwa yakwamba Ndugu Branham hakuongeyaka kuhusu kalenderi.

Wakati mwaka 1977 ilikuja na kupita, fundisho mpya ilitangazwa yakwamba ufufuo utafanyika kwa ilewakati wa mutikito kubwa ambao itapiga magalibi ya Amerika, na Nabii atamalizia hudma yake katika hema. Hakuna mwenye anaweza zihusisha na ile Mafundisho yote ya uwongo-nikupoteza muda.

Bila kuigia kwa katika maelezo kuhusu somo hizo ambazo ziletwa na wa hubiri wa kutoka Amerika, Hii inastahili kusemewa: Hakuna katikati yao mwenye anaweza kutuonyesha kutumwa kwake. Hakuna katikati yao ambaye anahubiri Neno; wote walifundisha madithi zao ambazo walitayzlisha, na wote walifulahia ma Nukuu: “Nabii alisema…“

Hii ninaisema kwa Utukufu wa Mungu: Sijawai kuweka kando Neno na kuikubali tafusiri. Hiyo ilifanya wandugu wanipiganisha kwasababu wanaweka manukuu za Ndugu Branham juu ya Neno na Hawa kukubali Neno lilioandikwa kuwa Mamlaka ya mwisho.

Kulifika mwaka wa 1979, wakati adui alipanda mashaka kuhusu kutumwa kusundi anifanye nisitumainiwe na kubomoa kanisa. Nilikuwa kwenye mzabaho kwaghafla, kidongo kufikia mwisho ya mahubiri, Mke akaletakelele kwasauti kubwa, “Kilakitu hapa ni ujaja! aokeni inje, muache Jengo hii, na musirundi apa tena, kwasababu Kilakitu hapa kinamalizika milele!“ Yeyote aliye amini maneno ya Sauti ya ule mke hajawaii kuingiya tena kwa Jengo hii mpaka Leo. Wale ambao wana amini kile Sauti ya BWANA alisema siku ya Aprili, 2, 1962, na Ndugu Branham akaiakisha tarehe Desemba, 3, 1962, mbele ya washuhuda wawili, wanajuja wakitoka ku Dunia yote na kujaza Jengo la Kanisa. Na maelfu za watu wanajiuga nasi kupitia mtandao na wasikia Neno takatifu yahii wakati. BWANA hukaa macho kwa Neno lake na hakukubalia yule adui kubomola kazi yake.

Sehemu yapili ya kutumwa kuliopewa kwa tarehe Juni, 11, 1933, Nikusema Ujumbe itachukuliwa Duniani pote, ilitimilika machoni petu. Katika Mathayo 24:14, BWANA wetu alisema Yeyemwenyewe: “Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja“.

Ndugu Branham aliagizwa katika Marchi 1962 kuweka chakura kwenye maweko, Kama vile alibisema tarehe Aprili, 1. Wakati alipokuwa aniongelea kuhusu muhuri ya Saba, aligeukia Ndugu Neville badala ya dakika kumi na kusema, “Kwasa chakura imekwa kagalani.“ Kwa tarehe ya Jumapili, Septemba, 1976, BWANA aliogea na mi kwa Sauti kubwa: “Mutumishi Wangu, nilikutaalisha kulingana na Mathayo 24, Shahili la 45 mpaka 47, kupana Chakura Kuwakati inayo faa.“ Nime patia wandugu wote katika hudma na watu wa Mungu. Wachaguliwa wote wanaamini kila Neno la Mungu na kueshimu maamzi Yake. Wanakulia kwenye mza ilioandaliwa ya utajiri ya BWANA.

Niko mtu pia kama Elia, Paulo, ao Ndugu Branham, alakini nikweli tena yakama nime chukua kutumwa kwahapohapo ambao BWANA ilinipa. Hakuna sababu yakurudilia mashuruti na mazoefu ambao BWANA muaminifu alionipa katika miaka yote. Nime kwisha kuongelea hao katika mabaruwa zamuzunguko tofauti.

Kila zoefu la kibinguni ni kweli; Mungu ni mushuhuda Wangu. Kama vile Paulo na Ndugu Branham, Ninaweza kusema saa na nafasi kwenye nilipata hayo.

Kwa neema ya Mungu, Ninaweza kushuhudia kama vile Paulo niliitwa, “aliyeitwa kuwa mtume, na kutengwa aihubiri Injili ya Mungu; ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa kinywa cha manabii wake katika maandiko matakatifu“ (Warumi 1:1-2) nani mechukua kutumwa yangu. Kulingana na wafilipi 1:6, BWANA Yeye mwenyewe atamaliza kazi yake: “Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya Kristo Yesu.“

“Akajibu akaniambia, akisema, Hili ndilo neno la BWANA kwa Zerubabeli, kusema, Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema BWANA wa majeshi.“ (Zekaria 4:6)

Katika huduma Yake,

Katika myaka mingi, Kwa ujumla niweka kando wiki mbili za kila mwezi kwa safari za umishonari, kwa hiyo namna likuwa katika Zurich kwa mkutano kwa jumapili la mwisho, na katika Krefeld kwa wikendi ya kwanza. Kwa ujumla, Nilitumikisha maili ya milioni 15 za ndege katika mchakato. Vile, Niliweza kuhubiri katika miji mingi katika inchi 165 kwa Dunia yote.

Sasa Ni mefikia miaka 86, Igawa niko ndani ya uzima mzuri, miaka yangu imesimamesha kutembea, kuona, na kusikia, ni kusema safari murefu haziwezi wezekana. Igawa, kupitia mtandao, waamini wote kwa inchi zote wana weza kusikiliza mahubiri katika lugha tofauti na kushuhudia mkutano. Kwa jiya hiyo, uagalizi wakiroho kwa dunia yote imewezekana, kama vile waamini kutoka mudunia zima wanashuhudia na kushukuru.

Nina weza kusema: BWANA, acha sasa mutumishi wako eede kwa salama, kwasababu Ujumbe yamwisho imetanganwa ku Duniani yote. Macho yangu ameona utimilifu wa ahadi ya kipende cha wakati hii. Waamini wote wakweli wataishi kila kitu ambacho Mungu atafanya, mpaka mwisho. Aliahidi na ataitimiza.

Sana sana wale ambao walijiuga nasi kwa miaka kidogo iliopita kutoka ulimwenguni, Nina pendezwa ni wajulishe kwa machache kuhusu habari ya maisha yangu ya kiroho: Nilikuwa mhubiri katika kanisa la wapentekoste kutokeye mwaka wa 1952.

Wakati yangu yakwanza ya kukutana Ndugu Branham akwa, recepushioni ya hoteli kwa suku ya Juni, 15, 1955, Nabii aliniambia, “Uko mhubiri ya injili,“ akaonye kidolechake kushoto na kusema, “Mke wako anasimama hapo kwa kiigilio“. Hapo kapatiana mikono na tukaogeya kwa machache. kutoka mwaka wa 1958 kuedelea, Nilitafusiri mahubiri za Ndugu Branham kwa lugha ya kijerumani.

Tarehe Aprili, 2, 1962 BWANA Yeyemwenyewe akanipa Utume kupitia sauti yake yaajabu ya kuhubiri Neno katika miji yegine.

Hapo, Nilikuwa na mazugumuzo mlefu pamoja na Ndugu Branham siku ya Desemba, 3, 1962, ambao ilishuhudia kutumwa kwangu kupitia Ufunuo mbele yawa shuhunda wawili. Kisha, akaniomba kuhumbiri munafayake huko Los Angeles kwa Demos Shakarian na pia huko Earnest Hotton katika Oakland, Oregon. Akaniomba nitembelea Ndugu Henry Martin huko Edmonton, Canada, ikiwazekana, nafasi kwenye kanda zake za mahubiri zilikuwazinasikiwa. hapo akanipa manjina na nambari za wandugu. Kwa mwisho yamaogezi, aliniambia, “Ndugu Frank, kama unashika safari ya umishonari kwa India, uite Paul Lawrie. Alikuwa katika mkutano yangu huko Bombay, ni muinjilist na alikuja huku Amerika na kubatiziwa hapa kwe hekalu katika Jina la BWANA Yesu Kristo.“

Katika mwaka wa 1964, Nilifanya safari yangu yaumishonari huko India. Huko ninashuhudia namna maelfu za watu walikuja kwa mkutano, na karibu waamini miatatu walibatizwa nyuma ya mahubiri. Kwa njia yangu yakurudi, Ni katembelea Yordani na Israeli.

Kufarikini kwa Ndugu Branham kwa mwaka wa Desemba, 1965, kipande cha wakati wamuhimu kilifikia mwisho. Semu mpya ikaanza, na utangazaji wa Ujumbe ya Neno kuligana na kutuma kwa Mungu kwa dunia yote, kwanza ni katika Ujerumani, Austria, na Uswissi, Ulaya yote na nyuma Dunia yote. Kwa kuogeza kwa mahubiri katika mikutano ya kuambundu na mkutano, Ni tumikisha kila muda kwa utangazaji ya Neno lililofunuliwa kupitia Ma redio na ma televisheni, na kupitia Mabaruwa Zamuzunguko na ma brosha.

Kwa mazishi ya Nabii sikua ya Aprili, 11, 1966, Nilialika Ndugu Pearry Green kukuja na kushuhundia kile ambacho aliona na macho yake katika hudma ya Ndugu Branham na alikuwa nashuhudia katika mkutano. “Katika ono, ambao nabii aliona ya calenderi na yakusimamia kwa mwaka wa 1977. Ilitaganziwa yakwamba kilakitu kitamalizika kwa mwaka 1977 na unyakuo utagefanyika.“

Nilikuwa mutafurisi wake na nikatamu maneno kuhusu ile kalenderi katika Baruwa yangu yakwanza ya Muzunguko kwa mwaka wa 1966. Nyuma nikaguduwa yakwamba Ndugu Branham hakuongeyaka kuhusu kalenderi.

Wakati mwaka 1977 ilikuja na kupita, fundisho mpya ilitangazwa yakwamba ufufuo utafanyika kwa ilewakati wa mutikito kubwa ambao itapiga magalibi ya Amerika, na Nabii atamalizia hudma yake katika hema. Hakuna mwenye anaweza zihusisha na ile Mafundisho yote ya uwongo-nikupoteza muda.

Bila kuigia kwa katika maelezo kuhusu somo hizo ambazo ziletwa na wa hubiri wa kutoka Amerika, Hii inastahili kusemewa: Hakuna katikati yao mwenye anaweza kutuonyesha kutumwa kwake. Hakuna katikati yao ambaye anahubiri Neno; wote walifundisha madithi zao ambazo walitayzlisha, na wote walifulahia ma Nukuu: “Nabii alisema…“

Hii ninaisema kwa Utukufu wa Mungu: Sijawai kuweka kando Neno na kuikubali tafusiri. Hiyo ilifanya wandugu wanipiganisha kwasababu wanaweka manukuu za Ndugu Branham juu ya Neno na Hawa kukubali Neno lilioandikwa kuwa Mamlaka ya mwisho.

Kulifika mwaka wa 1979, wakati adui alipanda mashaka kuhusu kutumwa kusundi anifanye nisitumainiwe na kubomoa kanisa. Nilikuwa kwenye mzabaho kwaghafla, kidongo kufikia mwisho ya mahubiri, Mke akaletakelele kwasauti kubwa, “Kilakitu hapa ni ujaja! aokeni inje, muache Jengo hii, na musirundi apa tena, kwasababu Kilakitu hapa kinamalizika milele!“ Yeyote aliye amini maneno ya Sauti ya ule mke hajawaii kuingiya tena kwa Jengo hii mpaka Leo. Wale ambao wana amini kile Sauti ya BWANA alisema siku ya Aprili, 2, 1962, na Ndugu Branham akaiakisha tarehe Desemba, 3, 1962, mbele ya washuhuda wawili, wanajuja wakitoka ku Dunia yote na kujaza Jengo la Kanisa. Na maelfu za watu wanajiuga nasi kupitia mtandao na wasikia Neno takatifu yahii wakati. BWANA hukaa macho kwa Neno lake na hakukubalia yule adui kubomola kazi yake.

Sehemu yapili ya kutumwa kuliopewa kwa tarehe Juni, 11, 1933, Nikusema Ujumbe itachukuliwa Duniani pote, ilitimilika machoni petu. Katika Mathayo 24:14, BWANA wetu alisema Yeyemwenyewe: “Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja“.

Ndugu Branham aliagizwa katika Marchi 1962 kuweka chakura kwenye maweko, Kama vile alibisema tarehe Aprili, 1. Wakati alipokuwa aniongelea kuhusu muhuri ya Saba, aligeukia Ndugu Neville badala ya dakika kumi na kusema, “Kwasa chakura imekwa kagalani.“ Kwa tarehe ya Jumapili, Septemba, 1976, BWANA aliogea na mi kwa Sauti kubwa: “Mutumishi Wangu, nilikutaalisha kulingana na Mathayo 24, Shahili la 45 mpaka 47, kupana Chakura Kuwakati inayo faa.“ Nime patia wandugu wote katika hudma na watu wa Mungu. Wachaguliwa wote wanaamini kila Neno la Mungu na kueshimu maamzi Yake. Wanakulia kwenye mza ilioandaliwa ya utajiri ya BWANA.

Niko mtu pia kama Elia, Paulo, ao Ndugu Branham, alakini nikweli tena yakama nime chukua kutumwa kwahapohapo ambao BWANA ilinipa. Hakuna sababu yakurudilia mashuruti na mazoefu ambao BWANA muaminifu alionipa katika miaka yote. Nime kwisha kuongelea hao katika mabaruwa zamuzunguko tofauti.

Kila zoefu la kibinguni ni kweli; Mungu ni mushuhuda Wangu. Kama vile Paulo na Ndugu Branham, Ninaweza kusema saa na nafasi kwenye nilipata hayo.

Kwa neema ya Mungu, Ninaweza kushuhudia kama vile Paulo niliitwa, “aliyeitwa kuwa mtume, na kutengwa aihubiri Injili ya Mungu; ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa kinywa cha manabii wake katika maandiko matakatifu“ (Warumi 1:1-2) nani mechukua kutumwa yangu. Kulingana na wafilipi 1:6, BWANA Yeye mwenyewe atamaliza kazi yake: “Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya Kristo Yesu.“

“Akajibu akaniambia, akisema, Hili ndilo neno la BWANA kwa Zerubabeli, kusema, Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema BWANA wa majeshi.“ (Zekaria 4:6)

Katika huduma Yake,

 Br. Frank