BARUA YA MUZUNGUKO Aprili 2012
Inayo husu yenye kupitikana kwa sasa huko mashariki ya kati, tunajihusisha zaidi na Israeli na kazi ya kutafuta salama. Kulingana na ripoti ya “Spaijeli kwenye hewani” ya tarehe 23/01/2012, mwaziri ya mambo ya inje wa shauri la muungano ya Ulaya alimutaja mupatanishi mujermani Andrea Rianiki kwenye ofisi ya musimamizi kipekee ya muungano wa Ulaya kwa njia ya kutafuta amani huko mashariki ya kati. Mpaka pale, alikuwa mbele mwakilishi wa Ujermani huko Siria. Bwana Rianiki iko na kazi ya kufanya kuendelesha politiki iliyo fanywa na muungano wa huko mashariki ya kati na kuleta Waisraeli na wa Palestina kwenye meza ya mazungumuzo. Yeye ni musimamizi wa muungano wa Ulaya karibu na Kwatete kwa ajili ya mashariki, ambayo pamoja na muungano ya Ulaya, umoja wa mataifa, Amerika na Rusia.
Zingine matangazo za gazeti zinatujulisha kuhusu inayo tayarishwa juu ya Yerusalemu, mulima wa hekalu na mulima Sioni. Tuna angaliliya kwenye kipengele cha tarehe 31/01/2012, kwenda mbele inayo onekana ambayo imerikodiwa kati ya Israeli na Vatikani. Inahusu kwa kuona mazungumuzo kuhusu mulima ya Sioni, ambapo kunapatikana kaburi la Davidi, pia na ile sinaklo, chumba ambacho kulifanyika chakula cha mwisho cha jioni na kushuka ya Roho Mutakatifu. Vatikani inaomba ili nafasi hii ikuwe chini ya utawala wake. Njia ya makubaliyano ya upngaji imetolewa. Mpendwa wa papa, askofu Antonio Franko alifanya kitendo kwenye radio ya Vatikani, nyuma ya kukutana kule Yerusalemu, ya kwamba kwenda mbele ya kuonekana kweli imechunguzwa, na inabidi kutumaini ya kama kwenye muda muzuri na mufupi tunaweza kufikia kwenye ukomo ya mapatano hayo, inayo tumika kwa hali zote za utendaji wa maisha na ya kazi za kanisa huko Israeli …
Tarehe 30/01/2012, radio ya Domi, stesheni ya parokia ya Kolonyi, ilifanya uchunguzi juu ya mazungumuzo kati ya Vatikani na Palestina. Ni swali la mapatano ya kimusingi ikitumika juu ya haki za kanisa katolika katika Yerusalemu ya mashariki na katika eneo za wa Palestina.
Kwa namna ingine, Wapalestina wanasema kama wako tayari kuweka mulima wa hekalu, ambao ni nafasi ya tatu takatifu ya waislamu, chini ya uongozi ya kamati moja. Yote iko inaandaliwa ili kwa kukamilisha patano moja ambayo biblia inataja kama neno agano:”Atafanya agano la nguvu pamoja na wengi kwa juma moja…” (Danieli 9:27)
Tarehe 06/8/1961, ndugu Branham alisemaka kwamba hii agano itafanyikaka kwa kweli wakati wa kuanza juma ya makumi saba na kwa kunyakuliwa ya Bibi Arusi. Ukamilifu wa mupango wa wokovu wa Mungu pamoja na kanisa ya mataifa ndiyo ile mwanzo pamoja na Israeli, Taifa la Agano. Kwa hiyo maendeleo tunatambuwa kila mara wazi zaidi ya kama wakati wa neema kwa wamataifa inafikia mwisho wake na Mungu iko anaanza kwa Israeli. Hatuiseme kwa kuisema, ila hiyo nayo inaambatana na yale ambayo Mungu Alitamka katika Neno lake.
Ulimwengu wote wa Kikristo inasema juu ya alama za wakati. Tuna tambuwa Matayo 24, Marko 13 na Luka 21, pia Neno la kiunabii na tunaona sasa namna gani unatokea ufalme wa ine wa kidunia, ambao ni wa mwisho; ni kusema ufalme wa kiroma: “Munyama wa ine, ni ufalme wa ine utakao kuwa duniani, tofauiti na zingine falme zote, na utabomowa dunia yote, itaikanyaga na kuivunja … utawala, mamlaka, na ukubwa wa falme zote ambazo ziko chini ya mbingu, zitapewa kwa taifa ya watakatifu ya Aliye juu. Utawala wake ni utawala wa milele, na watawala wote watamutumikia na kumutii” (Danieli 7:23+27).
Tunaweza kuambiana wamoja kwa wengine: “Wakati mutaona mambo haya inaanza kufika, muinuke na munyanyuwe vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu unakaribiaǃ”
Na Bwana Awabariki sana nyoteǃ
Anaye tenda kwa upande wa Mungu
Ndugu Frank