BARUA YA MUZUNGUKO Aprili 2012

Mwaka wa 2012

« »

Mwaka wa 2012 kwangu ni mwaka wa yubili. Ukumbusho wa matukio ya kipekee ya tarehe 02/4/1962 ilibaki ndani yangu siku zote. Nilitimiza ile ambayo Bwana Aliniamuru kumepita myaka 50, ile siku ya kwanza ya kumbukumbu asubui iwezekanavyo kwa kujuwa kwangu na kwa zamiri yangu. kulingana na kazi hiyo, ninajipatia maandiko yafutayo:

“Kweli, kweli, ninawaambia, yeye anae pokea Yule ambae Nilimutuma ananipokeya, na mwenye kunipokea, anapokeya Yule Aliye nituma” (Yoane 13:20).

“Mukumbuke lile Neno nililo waambia: mutumwa si mukubwa kuliko Bwana wake. ikiwa walinitesa, watawatesa nanyi vile vile; ikiwa walilinda Neno langu, watalinda vile lenu” (Yoane 15:20)

“Kwa sababu nilikutokea ili nikuweke muhuduma na mushuhuda wa mambo uliyo yaona na yale ambayo nitakuletea” (Matendo ya Mitume 26:16).

Mwisho ya mwaka wa 2011 ni mwanzo ya mwaka wa 2012 myaka hii imebarikiwa zaidi. Zaidi ya wandugu na wadada walikusanyika hapa kunako misioni kubwa na wasikilizaji kwenye inteneti ilifikia hesabu ya 999 kwa uambatanaji, ambayo sehemu kubwa ilikuwa ni makusanyiko nzima imekusanyika kwa kusikiliza mahubiri hapo hapo. Kupitiya kutuma ma kaseti kwa kila mwezi, tepi, mamilioni katika ulimwengu nzima wanaungana nasi pamoja na Bwana. Kulingana na kazi ya hapo hapo, tazama sasa ni zaidi ya nusu karni ninahubiri Neno na kugawa chakula cha Kiroho. Bwana wetu Mwaminifu na Mukombozi Atamaliza Yeye Mwenyewe kazi Yake.

Kwa wakati wa Musa, akaamuru mwaka wa yubili (Walawi 25). Katika Luka 4, Bwana wetu Anarudliya kwa Isaya 61:1-2) na akataja mwaka wa yubili: “Roho wa Bwana ni juu yangu, kwa maana Amenipaka kwa kutangaza Habari Njema kwa wasiyo jiweza; Alinituma kuwaponya wale wenye mioyo ya kuvunjika, kuwatangaziya wafungwa ufungulifu, na kwa vipofu kuona na macho, ili kuwaacha huru waliyo nyanyaswa kuwekwa huru, ili kutangaza mwaka wa neema wa Bwana (shahiri ya 18-19).

Imupendeze Bwana Atupatie tena mwaka wa neema kwa mwaka huu wa 2012. Tutaendelea kutangaza habari njema na kama vile watumwa wake, tutangaze ufungulifu kwa wenye kufungwa na kwa wafungwa wote, ufungulifu wa macho kwa vipofu vya kiroho, na tutahubiri Injili kamili, kuhusu nafsi, roho na mwili. Wote walio jitenga wanaalikwa kurudia. Tunakaribia kwenye wakati ya hatari ya historia ya wokovu ya kiungu. Wakati muda itafika, ile itatendeka, na tunajingojeleya kwa ile mbele karibuni.

“… yeye, ambae sauti ikatikisa dunia, na kwa sasa Alifanya agano hili: mara tena nitatikisa siyo dunia tu, lakini pia na mbingu” (Waebrania 12:26).

“… awape uwezo ya kazi njema kwa utimilifu wa mapenzi yake, na Atimize ndani yenu ambayo inayo mupendeza, kwa Yesu Kristo, Ambae Kwake iwe utukufu milele na mileleǃ Amenǃ» (Waebrania 13:21)

“Yeye atakae shinda, nitamupa kukaa pamoja nami kwenye kiti changu cha Ufalme, kama vile nilivyo shinda nikakaa pamoja na Baba yangu kwenye kiti Chake cha Ufalme” (Ufunuo 3:21).