Baruwa ya Mzungoko - Mwisho wa mwaka 2018

Upendo kamili Ndio Utakao Ingia Huko

« »

Sikilizeni enyi waamini wa mataifa yote na kabila zote: Bwana arusi alie neno ye mwenyewe atachukua bibi arusi neno pekee! Huko mbinguni kutakuwa bibi arusi alie oshwa katika damu ya mwana kondoo, alie takaswa katika neno la kweli, naku wekwa muhuri wa Roho mtakatifu. Sasa kilamutu amepewa bahati ya mwisho ya kuchaguwa kama atakuwa kwa upande wa mabikiri wenye Busara ao kwa upende wa mabikira wapumbafu. Neno la wakati wetu lime kuja kutoka kwa Mungu. Nalitatimiza kile ambachi Mungu amelituma kufanya: “Ndivyo litakavyo kuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu, halita ni rundia bure, baali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale nililo lituma“ (Isa 55:11). Amina. Amina.

Manabii wote, na mitume wote, na wale wote waliyo tumwa walitimiza utume wao. Ndugu Branham aliyafanya yale ambayo ali amriwa kufanya, nami niliyafanya yale ambayo BWANA mwaminifu aliyo ni agiza kufanya. Bibi arusi anarudi kwa hatua, kama vile Ndugu Branham alivyo sema siku, Julai, 5, 1964: …kwa ujao wa mustari wa Neno“.

Nitamaliza mwaka wa 85 wa maisha yangu kwa Disemba 2018. Nyakati za safari za mwezi zina anza ku punguka; Kutembea, Kuona, Kusikia. Lakini neno lililo andikwa kwenye moyo lina dumu. Ashukuriwe Mungu kuona makanisa, namakundi za nyumbani zote ulimwengini pote, zina weza kusikia, na kuona na kuishi yale ambayo Mungu anafanya kwa sasa.

Nikutoka kilindi cha moyo wangu, nina shukuru kila mmoja wenu duniani pote kwa ajili ya maombi yenu. Mungu mwaminifu awabariki nyote, aimarishe imani ya milele na iwe uhakika katika maisha yenu. Kama vile munavyo amini ujumbe wa kibiblia, na hivyo ndivyo mutakavyo ishi utimilifu na kuwa na sehemu katika unyakuo. Nashukuru BWANA wangu ambae alie nionesha ono kubwa la unyakuo kwa Januari, 1981, ndiyo tutanya kuliwa sote pamoja: “Kwa maana BWANA atatimiza kazi yake duniani, bila kukawia.“ (Rom 9:28)

Mume sikiya ya kwamba Ndugu Helmut Miskys amechukuliwa kwenye utukufu. Nataka ni wajulishe kwamba huyu mpendwa wetu ame barikiwa sana na BWANA alimtumikisha kwa namna ya ajabu, iwe katika familia yake ao katika familia za watoto wake, hata kwa kanisa la mahali ao alipo ongoza shule la jumapili, hata kwa mikutano ya vijana, hata kwa inchi zenye lugha ya kiportigali: aliacha njia za Baraka mahali pote. Tunaomba pole na mibaraka ziweze kuwafikia familia ya Ndugu Helmut Miskys, na dada Erika Miskys. Ndugu Claudio miskys alishika uongozi wa kiroho na kushugulikia waamini katika Brasilia na katika inchi nyingine zinazo ongea lugha ya kiportigali. Tunashukuru Mungu kwa kuona ameshughulikia mambo yote na kutayarishia taifa lake.

Picha hii tulipata kutoka kwa Dada Erika Miskys, inayo onesha Ndugu Helmut Miskys akiwa Havana huko Cuba wakati wa safari yake ya kimishonari kwa Machi, 2018.

Kwa mwisho wa mwaka na kwa mwaka ujao, tuna watakia nyinyi nyote mibaraka ya ajabu ya mwenye nguvu zote. Na hii iweze kuwa mwaka wa Yubili (Law 25:8-13, Lk 4:16-21). Mungu mwaminifu na awabariki nyote katika mataifa yote na katika lugha zote. Nikumbukeni katika maombi yenu. Aksanti sana.

Kwa utume wake,

Ewald Frank

Sikilizeni enyi waamini wa mataifa yote na kabila zote: Bwana arusi alie neno ye mwenyewe atachukua bibi arusi neno pekee! Huko mbinguni kutakuwa bibi arusi alie oshwa katika damu ya mwana kondoo, alie takaswa katika neno la kweli, naku wekwa muhuri wa Roho mtakatifu. Sasa kilamutu amepewa bahati ya mwisho ya kuchaguwa kama atakuwa kwa upande wa mabikiri wenye Busara ao kwa upende wa mabikira wapumbafu. Neno la wakati wetu lime kuja kutoka kwa Mungu. Nalitatimiza kile ambachi Mungu amelituma kufanya: “Ndivyo litakavyo kuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu, halita ni rundia bure, baali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale nililo lituma“ (Isa 55:11). Amina. Amina.

Manabii wote, na mitume wote, na wale wote waliyo tumwa walitimiza utume wao. Ndugu Branham aliyafanya yale ambayo ali amriwa kufanya, nami niliyafanya yale ambayo BWANA mwaminifu aliyo ni agiza kufanya. Bibi arusi anarudi kwa hatua, kama vile Ndugu Branham alivyo sema siku, Julai, 5, 1964: …kwa ujao wa mustari wa Neno“.

Nitamaliza mwaka wa 85 wa maisha yangu kwa Disemba 2018. Nyakati za safari za mwezi zina anza ku punguka; Kutembea, Kuona, Kusikia. Lakini neno lililo andikwa kwenye moyo lina dumu. Ashukuriwe Mungu kuona makanisa, namakundi za nyumbani zote ulimwengini pote, zina weza kusikia, na kuona na kuishi yale ambayo Mungu anafanya kwa sasa.

Nikutoka kilindi cha moyo wangu, nina shukuru kila mmoja wenu duniani pote kwa ajili ya maombi yenu. Mungu mwaminifu awabariki nyote, aimarishe imani ya milele na iwe uhakika katika maisha yenu. Kama vile munavyo amini ujumbe wa kibiblia, na hivyo ndivyo mutakavyo ishi utimilifu na kuwa na sehemu katika unyakuo. Nashukuru BWANA wangu ambae alie nionesha ono kubwa la unyakuo kwa Januari, 1981, ndiyo tutanya kuliwa sote pamoja: “Kwa maana BWANA atatimiza kazi yake duniani, bila kukawia.“ (Rom 9:28)

Mume sikiya ya kwamba Ndugu Helmut Miskys amechukuliwa kwenye utukufu. Nataka ni wajulishe kwamba huyu mpendwa wetu ame barikiwa sana na BWANA alimtumikisha kwa namna ya ajabu, iwe katika familia yake ao katika familia za watoto wake, hata kwa kanisa la mahali ao alipo ongoza shule la jumapili, hata kwa mikutano ya vijana, hata kwa inchi zenye lugha ya kiportigali: aliacha njia za Baraka mahali pote. Tunaomba pole na mibaraka ziweze kuwafikia familia ya Ndugu Helmut Miskys, na dada Erika Miskys. Ndugu Claudio miskys alishika uongozi wa kiroho na kushugulikia waamini katika Brasilia na katika inchi nyingine zinazo ongea lugha ya kiportigali. Tunashukuru Mungu kwa kuona ameshughulikia mambo yote na kutayarishia taifa lake.

Picha hii tulipata kutoka kwa Dada Erika Miskys, inayo onesha Ndugu Helmut Miskys akiwa Havana huko Cuba wakati wa safari yake ya kimishonari kwa Machi, 2018.

Kwa mwisho wa mwaka na kwa mwaka ujao, tuna watakia nyinyi nyote mibaraka ya ajabu ya mwenye nguvu zote. Na hii iweze kuwa mwaka wa Yubili (Law 25:8-13, Lk 4:16-21). Mungu mwaminifu na awabariki nyote katika mataifa yote na katika lugha zote. Nikumbukeni katika maombi yenu. Aksanti sana.

Kwa utume wake,

Ewald Frank