Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE
Swali La 16: Ninamna gani na hudma yako? Inapatikana katika Biblia?
Font Face
Line Height
Paragraph Gap
Font Size
Jibu: Utume ambao BWANA amenipa isingekuwa katika maandiko matakatifu singe kuwa na ruhusa ya kuitwa mtumishi wa Mungu. “Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa: wakwanza Mitume, wa pili manabii, watatu Waalimu…“ (1. Wakorintho 12:28). Ndugu Branham alisema; “Hakuna mtu anae ruhusa ya kuhubiri, kama haja kutana na Mungu, kama vile Musa alivyo kutana na Mungu mwenyewe…“ (Kitabu, Makao yatakao kuja). Kila mutu alie itwa na Mungu anajua siku, na saa, na Mahali na maneno aliyo yapewa kuhusu utume wake. Ushuhuda wangu unajulikana ulimwenguni pote, kwa muda wa myaka mingi. Ilitangazwa huko Ujerumani na wapasha habari wa “Voice of Healing“yaani“ sauti ya uponyaji“kwa mwezi wa Machi, 1963 washuhuda wa wili, Fred Sothman na Banks Woods, walikuwa mahali pale siku ya 3, Disemba, 1962, wakati ndugu Branham kupitia Ufunuo wa kiungu, alirudilia Neno kwa neno kwa yale ambao Mungu alikuwa aliniambia siku ya 2, Aprili, 1962. Sijawai kusahau namna nabii alisema: „Ndugu Frank, Ulielewa vibaya yale ambayo BWANA alikuambia. Ulizani kwamba hapo kutakuwa njaa ya Mwili na wewe ukaweka chakula cha mwili“ Aliendelea akisema“ BWANA atatuma njaa ya kusikia maneno yake. Chakula ambacho unastahili kuweka ni Neno lililo ahidiwa la wakati huu… linapatikana katika mahubiri yalio shikwa kwenye Kanda… kwa hiyo subiri kwa ugawaji mpaka utakapo pokea mabaki yake“. Utume ambao niliupewa una sehemu mbili kwanza, kwenda katika mji, toka kwenda katika miji nyingine kwa kuhubiri Neno, Ya pili: kugawa chakula cha kiroho.
Kupitiya njiya ya Mungu ilikujatimiya wakati Ndugu Don Bablitz alipo kuja kuniona wakati nilipo kuwa huko Edmonton katika nyumba ya wittmeir inayo patikana mahali ya 137 kwa Ogusti, 1976. Ndiye aliyekuwa pamoja na kundi, kwa myaka mingi wakituma mahubiri ya Ndugu Branham kwa anuwani zote. Nami nilikuwa nikipokeya wakati nilipo kuwa nikitembeleya inchi tofauti, kwa hiyo a subuhi ya juma mosi alisema akiniambia“Ndugu Frank, tuna ona hudma ya Ndugu Branham katika Biblia, Namna gani kuhusu hudma yako? Nayo inapatikana katika Biblia? Nilimugeukia ni kisema: „Na kusihi, simamiya hapo. Usiseme hilo. Namna gani hudma yangu yaweza kuwa katika Biblia?…“
Unaweza ukaamini ao usiamini, Lakini asubuhi ifwatayo niliamka mapema, Nika vaa, nika kaa kwenye pembe la kitanda na nika sogea kushika Biblia yangu, kwa mukono wa kuliya ka ma vile inavyo tendeka kwa kila mara BWANA akasema maneno haya kwanguvu nasauti kubwa yenyenguvu na mamlaka“MTUMISHI WANGU NIMEKUWEKA KWAKUGAWA CHAKULA KULINGANA MATHAYO 24:45-47“. Nilikuwa bado sijajuwa maandiko haya katika Biblia ya ugawaji wa chakula chakiroho cha wakati huu. Mungu alikuwa amesema kwamba atatuma njaa ya kusikiya neno la BWANA (Amosi 8:11). Hii ndiyo sababu Ndugu Branham aliambiliwa kuweka Chakula chaKiroho, Ambacho kinagabuliwa kwa wakati huu. Hudma ambao Mungu amenipa hapo hapo ina ambatana na hudma ya Ndugu Branham. Ni jambo moja ya kuweka chakula kwa uwingi, kama vile Ndugu Branham alivyo onyeshwa, na jambo lingine ni kuwekea taifa la Mungu chakula chakiroho tayari kwenye meza ya BWANA.
Wa ndugu wote walio pokea mwito wa kiungu duniani pote kutumika katika nyumba ya Mungu wana dumu katika Neno na wana sehemu kwa ugawaji wachakula cha kiroho.
Jibu: Utume ambao BWANA amenipa isingekuwa katika maandiko matakatifu singe kuwa na ruhusa ya kuitwa mtumishi wa Mungu. “Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa: wakwanza Mitume, wa pili manabii, watatu Waalimu…“ (1. Wakorintho 12:28). Ndugu Branham alisema; “Hakuna mtu anae ruhusa ya kuhubiri, kama haja kutana na Mungu, kama vile Musa alivyo kutana na Mungu mwenyewe…“ (Kitabu, Makao yatakao kuja). Kila mutu alie itwa na Mungu anajua siku, na saa, na Mahali na maneno aliyo yapewa kuhusu utume wake. Ushuhuda wangu unajulikana ulimwenguni pote, kwa muda wa myaka mingi. Ilitangazwa huko Ujerumani na wapasha habari wa “Voice of Healing“yaani“ sauti ya uponyaji“kwa mwezi wa Machi, 1963 washuhuda wa wili, Fred Sothman na Banks Woods, walikuwa mahali pale siku ya 3, Disemba, 1962, wakati ndugu Branham kupitia Ufunuo wa kiungu, alirudilia Neno kwa neno kwa yale ambao Mungu alikuwa aliniambia siku ya 2, Aprili, 1962. Sijawai kusahau namna nabii alisema: „Ndugu Frank, Ulielewa vibaya yale ambayo BWANA alikuambia. Ulizani kwamba hapo kutakuwa njaa ya Mwili na wewe ukaweka chakula cha mwili“ Aliendelea akisema“ BWANA atatuma njaa ya kusikia maneno yake. Chakula ambacho unastahili kuweka ni Neno lililo ahidiwa la wakati huu… linapatikana katika mahubiri yalio shikwa kwenye Kanda… kwa hiyo subiri kwa ugawaji mpaka utakapo pokea mabaki yake“. Utume ambao niliupewa una sehemu mbili kwanza, kwenda katika mji, toka kwenda katika miji nyingine kwa kuhubiri Neno, Ya pili: kugawa chakula cha kiroho.
Kupitiya njiya ya Mungu ilikujatimiya wakati Ndugu Don Bablitz alipo kuja kuniona wakati nilipo kuwa huko Edmonton katika nyumba ya wittmeir inayo patikana mahali ya 137 kwa Ogusti, 1976. Ndiye aliyekuwa pamoja na kundi, kwa myaka mingi wakituma mahubiri ya Ndugu Branham kwa anuwani zote. Nami nilikuwa nikipokeya wakati nilipo kuwa nikitembeleya inchi tofauti, kwa hiyo a subuhi ya juma mosi alisema akiniambia“Ndugu Frank, tuna ona hudma ya Ndugu Branham katika Biblia, Namna gani kuhusu hudma yako? Nayo inapatikana katika Biblia? Nilimugeukia ni kisema: „Na kusihi, simamiya hapo. Usiseme hilo. Namna gani hudma yangu yaweza kuwa katika Biblia?…“
Unaweza ukaamini ao usiamini, Lakini asubuhi ifwatayo niliamka mapema, Nika vaa, nika kaa kwenye pembe la kitanda na nika sogea kushika Biblia yangu, kwa mukono wa kuliya ka ma vile inavyo tendeka kwa kila mara BWANA akasema maneno haya kwanguvu nasauti kubwa yenyenguvu na mamlaka“MTUMISHI WANGU NIMEKUWEKA KWAKUGAWA CHAKULA KULINGANA MATHAYO 24:45-47“. Nilikuwa bado sijajuwa maandiko haya katika Biblia ya ugawaji wa chakula chakiroho cha wakati huu. Mungu alikuwa amesema kwamba atatuma njaa ya kusikiya neno la BWANA (Amosi 8:11). Hii ndiyo sababu Ndugu Branham aliambiliwa kuweka Chakula chaKiroho, Ambacho kinagabuliwa kwa wakati huu. Hudma ambao Mungu amenipa hapo hapo ina ambatana na hudma ya Ndugu Branham. Ni jambo moja ya kuweka chakula kwa uwingi, kama vile Ndugu Branham alivyo onyeshwa, na jambo lingine ni kuwekea taifa la Mungu chakula chakiroho tayari kwenye meza ya BWANA.
Wa ndugu wote walio pokea mwito wa kiungu duniani pote kutumika katika nyumba ya Mungu wana dumu katika Neno na wana sehemu kwa ugawaji wachakula cha kiroho.