Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE
Swali La 17: Jee, Unahubiri mahubiri ya Ndugu Branham?
Font Face
Line Height
1.5
Paragraph Gap
1.0
Font Size
16
Jibu: La, sihuburi mahubiri ya Ndugu Branham, kwa kuwa imekwisha tayari kuhubiriwa. Nina yatafsiri, na kuya tangaza. Na ndivyohivyo kwa wale ambao wanayo yihitaji wanaweza kulisha nafsi zao wanapo ya sikia ao wanapo yasoma. Nina hubiri tu Biblia, Lakini yawezakana, kufwatana na uongozi wa Roho Mtakatifu nina weza pia kutumia maneno (ma Nukuu) kutoka katika mahubiri yake.
Jibu: La, sihuburi mahubiri ya Ndugu Branham, kwa kuwa imekwisha tayari kuhubiriwa. Nina yatafsiri, na kuya tangaza. Na ndivyohivyo kwa wale ambao wanayo yihitaji wanaweza kulisha nafsi zao wanapo ya sikia ao wanapo yasoma. Nina hubiri tu Biblia, Lakini yawezakana, kufwatana na uongozi wa Roho Mtakatifu nina weza pia kutumia maneno (ma Nukuu) kutoka katika mahubiri yake.