Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE
Swali La 20: Unajisikia jee, kwa wale wanao zihaki jina lako?
Font Face
Line Height
Paragraph Gap
Font Size
Jibu: Mimi sijisikie vibaya, ila tu hiyo ina nisukuma kuwabariki wale ambao hawawezi kuchunga chuki yao: Nahiyo haifanyiki kwangu peke yake, ila ni kwakila mutumishi wote wa Mungu anaye tangaza neno la Mungu kama vile mtume Paulo alivyo sema: „Kwa utukufu na aibu, kwakusemwa vibaya na nakusemwa
vizuri, kamawadanganyifu; bali tu watu wa kweli“ (2. Wakorintho. 6:8). wakati nyingine kwamfano mambo yasiyoyakweli na mazihaki yanasambazwa, kupitiya baruwa zilizo wazi, hata kwenye madhabau, na kwamtandao, hata nakatika vitabu vyao vinavyo eleza kuhusu ngurumo saba. Hivi tunatambua kama hizi ndizo mbinu ambazo shetani anatumiya ili apate namna ya kubomoa ushawishi wa utume wa kimungu. Hapo natambuwa kama shetani anatumikisha watu hao. Hivyo ndivyo alivyo fanya kwa watumishi wote wa Mungu. BWANA yesu aliye niita hunipa nguvu mupya kilasiku ili niweze kugawa neno la kweli la Mungu pamoja na waamini wote wa kweli. Ingawa matusi yote ninayo yavumilia, ninaweza tu kuwatakia mema kwa wale maadui wakale na wa sasa wanao kataa kweli. Niwale viongozi wa kidini walio saliti manabii na kuzihaki BWANA na mitume kwakuwa walikuwa vipofu katika roho na walitaka waongoze vipofu. Tabia ya mbegu ya kweli itajionyesha yenyewe. Hauwezi chuma tini kwenye miiba, nakwa chemuchemu moja hakuwezi toka maji matamu na maji machungu. Wengi wanapenda kwa namna ya kaini (1.Yohana 3:11-12), ambao ilizaa mauti wakati ule; kwaleo sasa kuna mauwaji ya kitabiya. Kaini na wivu yake, na Abeli aliye kubaliwa na BWANA, ni mfano mbele ya macho yetu. Uadui na wivu, vyazaa mauti.
Nukuu: „silazima kutumia upanga kumchoma mwenziyo mgongoni kwa kumuuwa. Unaweza kubomowa ushawishi wake na kuuwa ushawishi wake. Kusema vibaya mchungaji wako, ukisema mambo mabaya juu yake: Nikama vile kumchoma upanga. Kusema kitu chochote kisicho chakweli kwa mutu, hiyo itabomowa ushawishi wake mbele ya watu, na
utahukumiwa!Hivyo ndivyo alivyo sema yesu“ (vitu vya zahabu Pg. 167).
Isaka na Ishimaeli walikuwa watoto wa baba moja: kwa hivi yule aliyezaliwa kwa mwili alimchukia yule aliye zaliwa kwaahadi. Basi ndugu zangu kama isaka sisi niwatoto waahadi. lakini kama vile siku zile aliye zaliwa kwa mwili alivyo muudhi yule aliye zaliwa kwaroho, ndivyo ilivyo na sasa (Wagalatia. 4:28-30). Hiyo haiwezi kubadilika. Hiyo haiwezi kufichwa.“kila amchukiaye ndugu yake nimuuwaji: Nanyi munajuwa yakwamba kila muuwaji hana uzima wa milele ukikaa ndani yake.“ (1.Yoane 3:15). Hii nikweli yakujaa. Yeyote amchukiae ndugu yake na ku muuwa kwa maneno mabaya kwakweli „anajiuwa mwenyewe“kwasababu anapoteza uzima wa milele.
Jibu: Mimi sijisikie vibaya, ila tu hiyo ina nisukuma kuwabariki wale ambao hawawezi kuchunga chuki yao: Nahiyo haifanyiki kwangu peke yake, ila ni kwakila mutumishi wote wa Mungu anaye tangaza neno la Mungu kama vile mtume Paulo alivyo sema: „Kwa utukufu na aibu, kwakusemwa vibaya na nakusemwa
vizuri, kamawadanganyifu; bali tu watu wa kweli“ (2. Wakorintho. 6:8). wakati nyingine kwamfano mambo yasiyoyakweli na mazihaki yanasambazwa, kupitiya baruwa zilizo wazi, hata kwenye madhabau, na kwamtandao, hata nakatika vitabu vyao vinavyo eleza kuhusu ngurumo saba. Hivi tunatambua kama hizi ndizo mbinu ambazo shetani anatumiya ili apate namna ya kubomoa ushawishi wa utume wa kimungu. Hapo natambuwa kama shetani anatumikisha watu hao. Hivyo ndivyo alivyo fanya kwa watumishi wote wa Mungu. BWANA yesu aliye niita hunipa nguvu mupya kilasiku ili niweze kugawa neno la kweli la Mungu pamoja na waamini wote wa kweli. Ingawa matusi yote ninayo yavumilia, ninaweza tu kuwatakia mema kwa wale maadui wakale na wa sasa wanao kataa kweli. Niwale viongozi wa kidini walio saliti manabii na kuzihaki BWANA na mitume kwakuwa walikuwa vipofu katika roho na walitaka waongoze vipofu. Tabia ya mbegu ya kweli itajionyesha yenyewe. Hauwezi chuma tini kwenye miiba, nakwa chemuchemu moja hakuwezi toka maji matamu na maji machungu. Wengi wanapenda kwa namna ya kaini (1.Yohana 3:11-12), ambao ilizaa mauti wakati ule; kwaleo sasa kuna mauwaji ya kitabiya. Kaini na wivu yake, na Abeli aliye kubaliwa na BWANA, ni mfano mbele ya macho yetu. Uadui na wivu, vyazaa mauti.
Nukuu: „silazima kutumia upanga kumchoma mwenziyo mgongoni kwa kumuuwa. Unaweza kubomowa ushawishi wake na kuuwa ushawishi wake. Kusema vibaya mchungaji wako, ukisema mambo mabaya juu yake: Nikama vile kumchoma upanga. Kusema kitu chochote kisicho chakweli kwa mutu, hiyo itabomowa ushawishi wake mbele ya watu, na
utahukumiwa!Hivyo ndivyo alivyo sema yesu“ (vitu vya zahabu Pg. 167).
Isaka na Ishimaeli walikuwa watoto wa baba moja: kwa hivi yule aliyezaliwa kwa mwili alimchukia yule aliye zaliwa kwaahadi. Basi ndugu zangu kama isaka sisi niwatoto waahadi. lakini kama vile siku zile aliye zaliwa kwa mwili alivyo muudhi yule aliye zaliwa kwaroho, ndivyo ilivyo na sasa (Wagalatia. 4:28-30). Hiyo haiwezi kubadilika. Hiyo haiwezi kufichwa.“kila amchukiaye ndugu yake nimuuwaji: Nanyi munajuwa yakwamba kila muuwaji hana uzima wa milele ukikaa ndani yake.“ (1.Yoane 3:15). Hii nikweli yakujaa. Yeyote amchukiae ndugu yake na ku muuwa kwa maneno mabaya kwakweli „anajiuwa mwenyewe“kwasababu anapoteza uzima wa milele.