Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE

Swali La 22: Unafundisha je kuhusu Ndoa na Talaka?

« »

Jibu: Sina fundisho langu mwenyewe kuhusu somo lolote. Musa, BWANA wetu, mtume Paulo na ndugu Branham walifundisha kuhusu somo hili kwa urefu. Kwa hivi hakuna mtu anaye itaji kuandika tena kuhusu somo hilo isipokuwa kuweka kwa utaratibu yale ambayo yaliandikwa kuhusu somo hilo.

Ni kama vile ndugu Branham alikuwa akisema; Nishida ya kale ambayo ni ngumu,“ambayo hauwezi kuijuwa mpaka ifunuliwe kwako. “wakati bwana Mungu Alipana maagizo hakuisahau somo hili la muhimu kwa kuwa alikuwa akisema kuhusu Uzinifu … usimtamani mke wa mwenziyo…“ (Kutoka 20).

Katika mahubiri kwenye mlima (Mathayo 5:27-32) Bwana wetu aliongea vile vile kuhusu hiyo; „Usizini…yeyote anaye mtazama mwanamke na kumutamani amefanya uzinzi pamoja naye moyoni mwakwe“. Na kwa hiyo aka ongeza: „jicho lako la kuume liki kukosesha, liongoe ulitupe mbali nawe… Na mkono wako wa kuume ukikukosesha ukate uutupe mbali nawe…“ Pia alisema kuhusu mume anaye weza kuachana na mkewe isipo kuwa sababu ya uzinifu. Kwa namna hiyo amemuleteya muke wake kuwa muzinifu ikiwa ana olewa, na kwa hali kama hiyo mume ndiye ata kuwa musimamizi.

Katika ma kabila yote na ukoo hapa duniani, ndoa ina heshimiwa kamasehemu ya maisha ya familiya. swali linalo waka moto ni; Uzinifu ni nini kulingana na sheria ya Mungu mahali wawili wakaweza wakafa? Maandiko ina sema nini? Uzinifu ni wakati mume anakuwa katika kitendo cha ndoa na muke wa mume mwengine „Mume akipatikana akilala na bibi aliye na mume, hapo wata kufa wote wawili“ (Kumbukumbu 22:22).

Katika Malaki 2, Bwana wetu ali laumu kwanza makuhani na kabila la walawi sababu ya mafundisho yao ya uongo. Hapo tena aliongea kuhusu agano za Baba zetu, ambao Yuda alifanya kitendo kiovu kwa kuoa ma binti za miungu ya mataifa. Sehemu hii ya unabi ni ya kilindi sana na ina tuongoza kwa lengo la muhimu,“kusema aweze kutafuta mbegu ya Mungu…“ mbegu hiyo ime ahidiwa kutoka shamba la Edeni ambao ni Kristo (Wagalatiya 3:16). Baada ya hiyo tuna soma kuhusu talaka ambacho ni kitendo cha ukatili. wakati mume ana mtaliki mke wa ujana wake hapo ana vunja agano pamoja naye (shahiri la ine). Haija wayi kuwa katika mafikiri ya Mungu kwa muke kutaliki mume wake kama vile Israeli hainge weza kutaliki Mungu, hapo ina andikwa kwa shida kama hiyo mume ana weza kumupa mkewe baruwa ya talaka, lakiini mwanamke hawezi kutoa baruwa ya talaka kwa mume wake.

Nukuu: „kama mwanamke anaweza kutoa baruwa ya talaka kwa mume wake hiyo ni shetani“ (C. O. D, Vol 2 Page 81)(English) maswali na majibu.

Mbele mume ao mke kuwaziya talaka, hii ita endeleya kuwa ushuhuda wangu: ni vema huyu mume ao mke awaziye kama ana weza kujikata mkono ao mguu ili apate kufikiriya kwenda kwa mahakama kuomba baruwa ya talaka. Talaka ni kitendo cha mauwaji kwa msemo kamili, wakati nguvu zote za kishetani za chuki zina onekana. Haivunji ndoa pekee, bali ina vunja piya jamaa, kanisa na jamii. Hakuna kitendo cha ukatili cha shetani kama talaka ni mauwaji ya maisha. Kwa kuifunika na majani ya mitini kama kanzu ya uhaki ya kibinafsi ni kama mazihaki.

Shetani mudanganyifu hujificha nyuma ya kila kitu cha ubishi kinacho tokeya. Mwanamke anapo kataa na kumuacha mume wake ana jikata kichwa chake yeye mwenyewe kwa wakati huo ana poteza uongozi wake wa kiroho na wa kimwili na hapo ana jazwa sumu ya ulimi kwa sababu ametoka chini ya utaratibu wa kiungu kuhusu ndoa, jamii na maisha ya kanisa. Kwa wakati huo ana fanya dhambi za makusudi na kumusulubisha mwana wa Mungu upya, na kuhayarisha mwana wa Mungu hazarani akifikiri kwamba anajiliipiya ubaya na kubomowa mume wake.

Matendo yanayo onesha yule alie na makosa ni haya: Hakuna Rehema, hakuna musamaha, hakuna uambatanisho ila mastaka tu, uadui isiyo chunguzwa inayo zidi kupita mauti.

Kwa wakati moja huyo mtu huleta sababu zake binafsi za kukubalisha ili atulize hukumu ya zamiri yake na kuleta mastaka yake ya uongo mbele ya familia na waamini na watu wote kwa ujumla.

Jibu: Sina fundisho langu mwenyewe kuhusu somo lolote. Musa, BWANA wetu, mtume Paulo na ndugu Branham walifundisha kuhusu somo hili kwa urefu. Kwa hivi hakuna mtu anaye itaji kuandika tena kuhusu somo hilo isipokuwa kuweka kwa utaratibu yale ambayo yaliandikwa kuhusu somo hilo.

Ni kama vile ndugu Branham alikuwa akisema; Nishida ya kale ambayo ni ngumu,“ambayo hauwezi kuijuwa mpaka ifunuliwe kwako. “wakati bwana Mungu Alipana maagizo hakuisahau somo hili la muhimu kwa kuwa alikuwa akisema kuhusu Uzinifu … usimtamani mke wa mwenziyo…“ (Kutoka 20).

Katika mahubiri kwenye mlima (Mathayo 5:27-32) Bwana wetu aliongea vile vile kuhusu hiyo; „Usizini…yeyote anaye mtazama mwanamke na kumutamani amefanya uzinzi pamoja naye moyoni mwakwe“. Na kwa hiyo aka ongeza: „jicho lako la kuume liki kukosesha, liongoe ulitupe mbali nawe… Na mkono wako wa kuume ukikukosesha ukate uutupe mbali nawe…“ Pia alisema kuhusu mume anaye weza kuachana na mkewe isipo kuwa sababu ya uzinifu. Kwa namna hiyo amemuleteya muke wake kuwa muzinifu ikiwa ana olewa, na kwa hali kama hiyo mume ndiye ata kuwa musimamizi.

Katika ma kabila yote na ukoo hapa duniani, ndoa ina heshimiwa kamasehemu ya maisha ya familiya. swali linalo waka moto ni; Uzinifu ni nini kulingana na sheria ya Mungu mahali wawili wakaweza wakafa? Maandiko ina sema nini? Uzinifu ni wakati mume anakuwa katika kitendo cha ndoa na muke wa mume mwengine „Mume akipatikana akilala na bibi aliye na mume, hapo wata kufa wote wawili“ (Kumbukumbu 22:22).

Katika Malaki 2, Bwana wetu ali laumu kwanza makuhani na kabila la walawi sababu ya mafundisho yao ya uongo. Hapo tena aliongea kuhusu agano za Baba zetu, ambao Yuda alifanya kitendo kiovu kwa kuoa ma binti za miungu ya mataifa. Sehemu hii ya unabi ni ya kilindi sana na ina tuongoza kwa lengo la muhimu,“kusema aweze kutafuta mbegu ya Mungu…“ mbegu hiyo ime ahidiwa kutoka shamba la Edeni ambao ni Kristo (Wagalatiya 3:16). Baada ya hiyo tuna soma kuhusu talaka ambacho ni kitendo cha ukatili. wakati mume ana mtaliki mke wa ujana wake hapo ana vunja agano pamoja naye (shahiri la ine). Haija wayi kuwa katika mafikiri ya Mungu kwa muke kutaliki mume wake kama vile Israeli hainge weza kutaliki Mungu, hapo ina andikwa kwa shida kama hiyo mume ana weza kumupa mkewe baruwa ya talaka, lakiini mwanamke hawezi kutoa baruwa ya talaka kwa mume wake.

Nukuu: „kama mwanamke anaweza kutoa baruwa ya talaka kwa mume wake hiyo ni shetani“ (C. O. D, Vol 2 Page 81)(English) maswali na majibu.

Mbele mume ao mke kuwaziya talaka, hii ita endeleya kuwa ushuhuda wangu: ni vema huyu mume ao mke awaziye kama ana weza kujikata mkono ao mguu ili apate kufikiriya kwenda kwa mahakama kuomba baruwa ya talaka. Talaka ni kitendo cha mauwaji kwa msemo kamili, wakati nguvu zote za kishetani za chuki zina onekana. Haivunji ndoa pekee, bali ina vunja piya jamaa, kanisa na jamii. Hakuna kitendo cha ukatili cha shetani kama talaka ni mauwaji ya maisha. Kwa kuifunika na majani ya mitini kama kanzu ya uhaki ya kibinafsi ni kama mazihaki.

Shetani mudanganyifu hujificha nyuma ya kila kitu cha ubishi kinacho tokeya. Mwanamke anapo kataa na kumuacha mume wake ana jikata kichwa chake yeye mwenyewe kwa wakati huo ana poteza uongozi wake wa kiroho na wa kimwili na hapo ana jazwa sumu ya ulimi kwa sababu ametoka chini ya utaratibu wa kiungu kuhusu ndoa, jamii na maisha ya kanisa. Kwa wakati huo ana fanya dhambi za makusudi na kumusulubisha mwana wa Mungu upya, na kuhayarisha mwana wa Mungu hazarani akifikiri kwamba anajiliipiya ubaya na kubomowa mume wake.

Matendo yanayo onesha yule alie na makosa ni haya: Hakuna Rehema, hakuna musamaha, hakuna uambatanisho ila mastaka tu, uadui isiyo chunguzwa inayo zidi kupita mauti.

Kwa wakati moja huyo mtu huleta sababu zake binafsi za kukubalisha ili atulize hukumu ya zamiri yake na kuleta mastaka yake ya uongo mbele ya familia na waamini na watu wote kwa ujumla.