Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE
Swali La 24: Ninamna gani kuhusu kitabu cha nyakati saba za kanisa?
Font Face
Line Height
Paragraph Gap
Font Size
Jibu: Kwa April 1966, nili kuja na vitabu viwili vyakutoka marekani“Nabii wa karne ya makumi mbili, kizazi cha kanisa la Laodikia, pia na kitabu chamaelezo kuhusu vizazi saba vya kanisa“. Niliwazia kwamba ndugu Branham yeye ndie alie andika kitabu cha vizazi vya kanisa na mimi nili kitafsiri katika lugha ya kijerumani na kukizidisha ndani vitabu 10000. Natena nili gundua jinsi kartasi 48 za kitabu“kizazi cha kanisa la Laodikia“kuanza neno la kwanza hadi mwisho kunapatikana ndani kwa kartasi 319 hadi 365 katika kitabu cha kingereza kuhusu vizazi vya kanisa. Mwisho nili elewa jinsi katika ujumbe ambao ndugu Branham alihubiri na yaliyo andikwa katika kitabu“maelezo kuhusu vizazi saba vya kanisa“kulikuwa tofauti kubwa na hata katika kitabu hicho kulikuwa mafundisho yasiyo ya kibiblia ambao ndugu Branham haku hubiri hata kidogo. Kwa mfano katika kitabu hicho kunaandikwa kwamba, watu wenye bado hawajazaliwa upya wataingia katika uzima wa milele sababu ya mambo mema waliyo watendea wandugu. Hii inapingana sana na 1. Yohana 5:11-12: „na huu ndiyo ushuhuda yetu ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele; na uzima huu umo katika mwanawe. Yeye aliye naye mwana anao huo uzima; asiye naye mwana wa Mungu hana huo uzima!“Mufano mwengine ni ya matafsiri yasiyo ya kweli kuhusu mti ya uzima na mti ya kujulisha mema na mabaya. „…kwamba wenye haki na waovu wako karibu karibu katika bustani…Na bila mashaka matawi yake nayo ina karibiyana“. Siyo mara moja kitabu hiki hakitofautishe mataifa iliyo katika matayo 25:31, yenye itapatikana mbele ya utawala wa myaka elfu na hukumu ya mwisho mbele ya kiti cheupe itakayo fanyika baada ya myaka elfu katika Ufunuo 20:11. Nina kataa kutumia nukuu tofauti zilizo katikz kitabu hicho zisizo za kweli. Ninaomba kila mmoja kutumia ujumbe halisi. Nilipo omba kitabu hicho niliambiwa kwamba ndugu Lee Vayle ndie alikuwa mwandishi wakitabu hicho cha vizazi vya kanisa. Ndugu Branham alisema ya kwamba hajasoma kitabu hicho hata siku moja. Katika mahubiri yake yanayo sema „Mutu anaye kimbia toka machoni pa Bwana“ambao alihubiri tarehe 17, Februari 1965. Alisema „na sasa kuna kitabu cha Nyakati za kanisa nina waza kwamba ndugu wetu mpendwa amepata uvivio kidogo ya namna Fulani, kwa sababu alisema kwamba ameandika vitabu viwili yeye mwenyewe. Na hapo aliandika kitabu kinacho itwa ninaamini,“Nabii wa karne cha ishirini „na“Nyakati ya kanisa la Laodikia“sija soma vitabu hivyo mwenyewe. Ikiwa nina weza kusoma vitabu hivyo yawezekana nina weza kubadilisha maoni yangu kuhusu hiyo…“ Sababu ya mafundisho ya kitabu hicho yasiyo eleweka isiyo ya kimaandiko matakatifu. Kinaweza kutumikishwa kama kitabu cha historia lakini hakiruhusiwe kuhusu kazi ya mafundisho.
Jibu: Kwa April 1966, nili kuja na vitabu viwili vyakutoka marekani“Nabii wa karne ya makumi mbili, kizazi cha kanisa la Laodikia, pia na kitabu chamaelezo kuhusu vizazi saba vya kanisa“. Niliwazia kwamba ndugu Branham yeye ndie alie andika kitabu cha vizazi vya kanisa na mimi nili kitafsiri katika lugha ya kijerumani na kukizidisha ndani vitabu 10000. Natena nili gundua jinsi kartasi 48 za kitabu“kizazi cha kanisa la Laodikia“kuanza neno la kwanza hadi mwisho kunapatikana ndani kwa kartasi 319 hadi 365 katika kitabu cha kingereza kuhusu vizazi vya kanisa. Mwisho nili elewa jinsi katika ujumbe ambao ndugu Branham alihubiri na yaliyo andikwa katika kitabu“maelezo kuhusu vizazi saba vya kanisa“kulikuwa tofauti kubwa na hata katika kitabu hicho kulikuwa mafundisho yasiyo ya kibiblia ambao ndugu Branham haku hubiri hata kidogo. Kwa mfano katika kitabu hicho kunaandikwa kwamba, watu wenye bado hawajazaliwa upya wataingia katika uzima wa milele sababu ya mambo mema waliyo watendea wandugu. Hii inapingana sana na 1. Yohana 5:11-12: „na huu ndiyo ushuhuda yetu ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele; na uzima huu umo katika mwanawe. Yeye aliye naye mwana anao huo uzima; asiye naye mwana wa Mungu hana huo uzima!“Mufano mwengine ni ya matafsiri yasiyo ya kweli kuhusu mti ya uzima na mti ya kujulisha mema na mabaya. „…kwamba wenye haki na waovu wako karibu karibu katika bustani…Na bila mashaka matawi yake nayo ina karibiyana“. Siyo mara moja kitabu hiki hakitofautishe mataifa iliyo katika matayo 25:31, yenye itapatikana mbele ya utawala wa myaka elfu na hukumu ya mwisho mbele ya kiti cheupe itakayo fanyika baada ya myaka elfu katika Ufunuo 20:11. Nina kataa kutumia nukuu tofauti zilizo katikz kitabu hicho zisizo za kweli. Ninaomba kila mmoja kutumia ujumbe halisi. Nilipo omba kitabu hicho niliambiwa kwamba ndugu Lee Vayle ndie alikuwa mwandishi wakitabu hicho cha vizazi vya kanisa. Ndugu Branham alisema ya kwamba hajasoma kitabu hicho hata siku moja. Katika mahubiri yake yanayo sema „Mutu anaye kimbia toka machoni pa Bwana“ambao alihubiri tarehe 17, Februari 1965. Alisema „na sasa kuna kitabu cha Nyakati za kanisa nina waza kwamba ndugu wetu mpendwa amepata uvivio kidogo ya namna Fulani, kwa sababu alisema kwamba ameandika vitabu viwili yeye mwenyewe. Na hapo aliandika kitabu kinacho itwa ninaamini,“Nabii wa karne cha ishirini „na“Nyakati ya kanisa la Laodikia“sija soma vitabu hivyo mwenyewe. Ikiwa nina weza kusoma vitabu hivyo yawezekana nina weza kubadilisha maoni yangu kuhusu hiyo…“ Sababu ya mafundisho ya kitabu hicho yasiyo eleweka isiyo ya kimaandiko matakatifu. Kinaweza kutumikishwa kama kitabu cha historia lakini hakiruhusiwe kuhusu kazi ya mafundisho.