Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE

Swali La 25: Jee, Muda za Nyakati za kanisa zilimfunuliwa ndugu Branham?

« »

Jibu: Hakukuwa lazima kuweko ufunuo kuhusu nyakati za vizazi vya kanisa. Ndugu Branham maranyingi alisema kuhusu mtu wa historia Dr Clarence Larkin. Katika kitabu chake“Dispentional Truth“tunakuta kwa kartasi yake ya 130 na 131 masehemu za kuenea, ginsi ndugu Branham alivyo ziandika. Ila kuhusu majiona za wajumbe ndugu Branham mwenyewe ndie alie zichagua. Nilitosha huko Jefelsanville chapo hilo la vizazi vya kanisa na majuma sabini za Danieli ambalo ndugu Branham alikuwa amechapa kwa ajili ya mafundisho kuhusu somo hizo. Hiyo inaonyesha wazi wazi kwamba fundisho lake lilikuwa kuhusu somo hili, kulingana na ushuhuda wa maneno yake.

Jibu: Hakukuwa lazima kuweko ufunuo kuhusu nyakati za vizazi vya kanisa. Ndugu Branham maranyingi alisema kuhusu mtu wa historia Dr Clarence Larkin. Katika kitabu chake“Dispentional Truth“tunakuta kwa kartasi yake ya 130 na 131 masehemu za kuenea, ginsi ndugu Branham alivyo ziandika. Ila kuhusu majiona za wajumbe ndugu Branham mwenyewe ndie alie zichagua. Nilitosha huko Jefelsanville chapo hilo la vizazi vya kanisa na majuma sabini za Danieli ambalo ndugu Branham alikuwa amechapa kwa ajili ya mafundisho kuhusu somo hizo. Hiyo inaonyesha wazi wazi kwamba fundisho lake lilikuwa kuhusu somo hili, kulingana na ushuhuda wa maneno yake.