Watu wana uliza maswali, Mungu anajibu Kupitia NENO LAKE

Swali La 26: Jee, Ndugu Branham alitabiri kwamba mwisho wa dunia ni katika mwaka wa 1977?

« »

Jibu: APANA, Ndugu Branham haja wai fanya unabii kama huo. Ijapokuwa katika mahubiri yake mengi alikuwa akisema kuhusu mwaka 1977, maneno haya yanayo patikana katika kitabu cha vizazi vya kanisa (page 322) haikutokea kinywani mwa ndugu Branham, hata hayakupatikana katika mahubiri zake zilizo shikwa kwenye kanda. Ila maneno hayo yalitokea kwa maandishi ya ndugu Lee Vayle mwandishi wa kitabu hicho. Maneno hayo tena yanaweza patikana kwa ukurasa wa 7 wa kitabu kinacho itwa“kanisa la kizazi cha Laodikiya“chenye kuwa na ukurasa 48, Tarehe 17 januari 1972 Lee Vayle alijibia swali langu kuhusu mwaka 1977: „nina amini pamoja na nabii ya kwamba katika mwaka 1977 mambo yote yatafikia mwisho wake na tuchukuliwe katika myaka elfu“Hii inaonekana wazi kwamba ilikuwa maoni ya huyo mwandishi, lakini si ya nabii.

Jibu: APANA, Ndugu Branham haja wai fanya unabii kama huo. Ijapokuwa katika mahubiri yake mengi alikuwa akisema kuhusu mwaka 1977, maneno haya yanayo patikana katika kitabu cha vizazi vya kanisa (page 322) haikutokea kinywani mwa ndugu Branham, hata hayakupatikana katika mahubiri zake zilizo shikwa kwenye kanda. Ila maneno hayo yalitokea kwa maandishi ya ndugu Lee Vayle mwandishi wa kitabu hicho. Maneno hayo tena yanaweza patikana kwa ukurasa wa 7 wa kitabu kinacho itwa“kanisa la kizazi cha Laodikiya“chenye kuwa na ukurasa 48, Tarehe 17 januari 1972 Lee Vayle alijibia swali langu kuhusu mwaka 1977: „nina amini pamoja na nabii ya kwamba katika mwaka 1977 mambo yote yatafikia mwisho wake na tuchukuliwe katika myaka elfu“Hii inaonekana wazi kwamba ilikuwa maoni ya huyo mwandishi, lakini si ya nabii.