BARUA YA MZUNGUKO Septemba 1972
Kanisa la Yesu Kristo siyo matengenezo ya kiutu, bali ni uumbaji wa Mungu. Kristo alisema: “Nami na kwambia… kwamba juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, na milango yakuzimu haitalishinda.” Kuzaliwa na kuudwa kwa Kanisa la Yesu-kristo vinatokana na tendo la Mungu. Kanisa lake linawekwa peke yake chini ya uongozi wa Roho Mtakatifu na wa Neno la Mungu. Matafisri na kanuni za watu hazina nafasi hata moja ndani yake. Kielelezo tu mekipewa ndani ya uundaji na ujengaji wa lile Kanisa la kwanza la ki Kristo, kama vile tunavyo elezewa ile ndani ya maandiko.
Tunataka zaidi sana kwa namna ya kipekee kuonyesha zile huduma tano na kuwekwa kwa wazee, ili kuonyesha namna gani hawa wanatumika ndani ya Kanisa. Kulingana na Waefeso 4:11-12, Mungu aliweka Mitume, Manabii, Wainjilisti, Wachungaji na Waalimu. Hizi huduma tano zime wekewa kwa kuujenga mwili wa Kristo na kwa kuongoza watakatifu kuwa wenye uwezo katika utenaji wa kazi ya Kanisa. Pale ambapo hizi huduma tano zina kosa, haiwezi hata kusemeka kuhusu utendaji wa kazi hii, wala juu ujengaji wa mwili wa Kristo, Mungu ametoa hizi huduma tano kwa ujumla ya Kanisa, na ndiyo maana inafaa mwito wa kiungu kwa kuitenda. Hakuna hata mtume mmoja, nabii, muinjilisti, mchungaji ao mwalimu anayeweza kuitwa ao kuchanguliwa na Kanisa, kinyume yake imeandikwa vema: “Naye alitoa wamoja…”
Ndani ya Kanisa la Agano jipya, tuna pata kwanza kazi ya mitume, kwa maana BWANA aliwapatia siri za Neno lake. Yote yaliyofunuliwa manabii wa Agano la kale katika yale yanayohusu mpango ya wokovu, tunayaona yakitimilika katika nyakati za Kanisa la Agano jipya. Mitume walikuwa na namna moja ya kuona ya kipekee inayopenya ya kazi ya wokovu wa Mungu, na walipokea toka kwake kazi ya kutangazia Kanisa ile ambayo BWANA aliwapa. Paulo alishika kwa thamani kubwa huduma yake ya mtume, kwa ginsi alijionyesha kila mara kwa namna hiyo kwenye mwanzo wa barua zake. Aliwaandikia Warumi:
“Paulo mtumishi wa Yesu Kristo, aliyeitwa kuwa mtume, aliyetengwa aihubiri injili ya Mungu; ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa kinywa cha manabii wake katika maandiko matakatifu…”
Katika 1 Wakorintho 1, anasema: “Paulo aliyeitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu…”
Ndani ya 2 Wakorintho 1, Wagalatia 1, na Wakolossai 1, yameandikwa karibu maneno mmoja. Ndani ya Tito1 anasema:
“Paulo, mtume wa wangu, na mtume wa Yesu Kristo, kwa ajili ya imani ya wateule wa Mungu, na ujuzi wa kweli ile iletayo utauwa”. Inaonekana toka maneno hayo ya kwamba Paulo hakuwa na tia mkazo juu ya kazi ya uinjilisti, bali juu ya uwajibu wake kulingana na imani ya wateule wa Mungu na ujuzi wa kweli. Kama leo mtumishi mmoja wa Mungu angejionyesha mwanzo wa mahubiri yake kama alivyo fanya Paulo, tungelizania kuwa hayuko kwenye nafasi yake. Bali Paulo, aliishika kua yenye kustahili, akiongozwa na Roho wa Mungu, kusema tangu mwanzo wa barua zake huduma yake ilikua gani ambayo Mungu alimkabidhi uzito gani. Mambo haya yanaonyesha kwamba akiwa mtu wa Mungu alisimamia na kueleza oni la kiungu. Kile ambacho alikua akifafanua kuhusu mpango ya wokuvu kutokana na ono la unabiii likua pia yenyi kushurtishwa kama yale manfundisho aliyo kuwa akiyaandika. Maagizo kwa ajili ya Kanisa kuhusu Ubatizo, Meza ya BWANA, utendaji wa karama za Roho ao kuwekwa kwa Wazee ndani ya kanisa la mahali, alivifunuliwa na Mungu.
Kanisa la Yesu Kristo siyo matengenezo ya kiutu, bali ni uumbaji wa Mungu. Kristo alisema: “Nami na kwambia… kwamba juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, na milango yakuzimu haitalishinda.” Kuzaliwa na kuudwa kwa Kanisa la Yesu-kristo vinatokana na tendo la Mungu. Kanisa lake linawekwa peke yake chini ya uongozi wa Roho Mtakatifu na wa Neno la Mungu. Matafisri na kanuni za watu hazina nafasi hata moja ndani yake. Kielelezo tu mekipewa ndani ya uundaji na ujengaji wa lile Kanisa la kwanza la ki Kristo, kama vile tunavyo elezewa ile ndani ya maandiko.
Tunataka zaidi sana kwa namna ya kipekee kuonyesha zile huduma tano na kuwekwa kwa wazee, ili kuonyesha namna gani hawa wanatumika ndani ya Kanisa. Kulingana na Waefeso 4:11-12, Mungu aliweka Mitume, Manabii, Wainjilisti, Wachungaji na Waalimu. Hizi huduma tano zime wekewa kwa kuujenga mwili wa Kristo na kwa kuongoza watakatifu kuwa wenye uwezo katika utenaji wa kazi ya Kanisa. Pale ambapo hizi huduma tano zina kosa, haiwezi hata kusemeka kuhusu utendaji wa kazi hii, wala juu ujengaji wa mwili wa Kristo, Mungu ametoa hizi huduma tano kwa ujumla ya Kanisa, na ndiyo maana inafaa mwito wa kiungu kwa kuitenda. Hakuna hata mtume mmoja, nabii, muinjilisti, mchungaji ao mwalimu anayeweza kuitwa ao kuchanguliwa na Kanisa, kinyume yake imeandikwa vema: “Naye alitoa wamoja…”
Ndani ya Kanisa la Agano jipya, tuna pata kwanza kazi ya mitume, kwa maana BWANA aliwapatia siri za Neno lake. Yote yaliyofunuliwa manabii wa Agano la kale katika yale yanayohusu mpango ya wokovu, tunayaona yakitimilika katika nyakati za Kanisa la Agano jipya. Mitume walikuwa na namna moja ya kuona ya kipekee inayopenya ya kazi ya wokovu wa Mungu, na walipokea toka kwake kazi ya kutangazia Kanisa ile ambayo BWANA aliwapa. Paulo alishika kwa thamani kubwa huduma yake ya mtume, kwa ginsi alijionyesha kila mara kwa namna hiyo kwenye mwanzo wa barua zake. Aliwaandikia Warumi:
“Paulo mtumishi wa Yesu Kristo, aliyeitwa kuwa mtume, aliyetengwa aihubiri injili ya Mungu; ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa kinywa cha manabii wake katika maandiko matakatifu…”
Katika 1 Wakorintho 1, anasema: “Paulo aliyeitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu…”
Ndani ya 2 Wakorintho 1, Wagalatia 1, na Wakolossai 1, yameandikwa karibu maneno mmoja. Ndani ya Tito1 anasema:
“Paulo, mtume wa wangu, na mtume wa Yesu Kristo, kwa ajili ya imani ya wateule wa Mungu, na ujuzi wa kweli ile iletayo utauwa”. Inaonekana toka maneno hayo ya kwamba Paulo hakuwa na tia mkazo juu ya kazi ya uinjilisti, bali juu ya uwajibu wake kulingana na imani ya wateule wa Mungu na ujuzi wa kweli. Kama leo mtumishi mmoja wa Mungu angejionyesha mwanzo wa mahubiri yake kama alivyo fanya Paulo, tungelizania kuwa hayuko kwenye nafasi yake. Bali Paulo, aliishika kua yenye kustahili, akiongozwa na Roho wa Mungu, kusema tangu mwanzo wa barua zake huduma yake ilikua gani ambayo Mungu alimkabidhi uzito gani. Mambo haya yanaonyesha kwamba akiwa mtu wa Mungu alisimamia na kueleza oni la kiungu. Kile ambacho alikua akifafanua kuhusu mpango ya wokuvu kutokana na ono la unabiii likua pia yenyi kushurtishwa kama yale manfundisho aliyo kuwa akiyaandika. Maagizo kwa ajili ya Kanisa kuhusu Ubatizo, Meza ya BWANA, utendaji wa karama za Roho ao kuwekwa kwa Wazee ndani ya kanisa la mahali, alivifunuliwa na Mungu.