BARUA YA MZUNGUKO Septemba 1972

MASWALI NA MAJIBU

« »

Miezi hii iliyopita, BWANA alionioyesha umuhimu wakuonyesha, kwenye nuru ya maandiko, misingi kwa ajili ya ujengaji wa lile Kanisa. Miongoni mwa wandugu, mara kwa mara inaulizwa: “Namna gani mutu anaweza kujua kama ameitwa kuhubiri na mapashwa yake ni gani ndani Ya ufalme wa Mungu. wazee wanawekwa namna gani na wanapashwa kutimiza shurti gani?

Kwa makusudi mpaka sasa sija zungumzia maswali haya kwa sababu nilipokea tu toka kwa BWANA kazi ya kwenda muji kwa muji ili kutangaza humo Neno lililo funuliwa. Si kupokea agizo la kuanzisha Makanisa wala kuweka wazee. Nina hisia ya kwamba hamtatokea kanuni mpya za imani ndani ya huu utangazaji wa Neno ulio wa mwisho na ambao nyuma yake hakuna mwengine unao fanana nao, bali mwili wa Yesu Kristo, katika ujumla wake, ule ambao utanyakuliwa. Bali kwa kuangalia makanisa yaliyoko, siwezi kujindoa kwenye wajibu wa kutangaza shauri zote za Mungu: Agizo kwa ajili ya ujengaji wa kanisa ni sehemu yake nani mapashwa kwangu mimi kuonyesha namna gani huduma mbali mbali ziko ndani ya kazi katika Kanisa.

Miezi hii iliyopita, BWANA alionioyesha umuhimu wakuonyesha, kwenye nuru ya maandiko, misingi kwa ajili ya ujengaji wa lile Kanisa. Miongoni mwa wandugu, mara kwa mara inaulizwa: “Namna gani mutu anaweza kujua kama ameitwa kuhubiri na mapashwa yake ni gani ndani Ya ufalme wa Mungu. wazee wanawekwa namna gani na wanapashwa kutimiza shurti gani?

Kwa makusudi mpaka sasa sija zungumzia maswali haya kwa sababu nilipokea tu toka kwa BWANA kazi ya kwenda muji kwa muji ili kutangaza humo Neno lililo funuliwa. Si kupokea agizo la kuanzisha Makanisa wala kuweka wazee. Nina hisia ya kwamba hamtatokea kanuni mpya za imani ndani ya huu utangazaji wa Neno ulio wa mwisho na ambao nyuma yake hakuna mwengine unao fanana nao, bali mwili wa Yesu Kristo, katika ujumla wake, ule ambao utanyakuliwa. Bali kwa kuangalia makanisa yaliyoko, siwezi kujindoa kwenye wajibu wa kutangaza shauri zote za Mungu: Agizo kwa ajili ya ujengaji wa kanisa ni sehemu yake nani mapashwa kwangu mimi kuonyesha namna gani huduma mbali mbali ziko ndani ya kazi katika Kanisa.