BARUA YA MZUNGUKO Septemba 1972
Tunasoma katika 1 Wakorintho 12:28: “Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wakwanza Mitume, wapili Manabii, watatu Waalimu…” Basi tunaona kwamba kusanyiko haliundwe na watu, bali na Yesu Kristo tunatambua pia ya kwamba yote inayojiita Kanisa la BWANA haliko Kanisa tu kwa sababu hiyo maelezo haya ya kibiblia ya metolewa ili kumusaidia kila mmoja kwa kujihoji mwenyewe, ili kuona kama ni wa kwamba Mungu ameweka ndani ya Kanisa:“Kwanza Mitume, pili Manabii, watatu Waalimu na kadhalika…”
Wote ambao nisehemu ya Kanisa la Yesu Kristo wana heshimu utaratibu wa kiungu na wanatambua huduma ya mtumishi aliye tumwa na Mungu, iweni ile ya mtume, ya nabii ao ya mwalimu. Yote ambayo Mungu aliyo weka kwa ujenzi wa Kanisa, wale ambao wanao kua sehemu ya mwili wa Kristo wanaichukua na shukrani. Kwa kawaida watu, wanatambua huduma ya muchungaji ao ya muinjilisti, bali ya nayo husu zile tatu zingine ile inaonekana kuwa ni tofauti sana. Lakini Mungu aliamua ya kwamba hizi zilikua za lazima na aliziwekea ujenzi wa Kanisa.
Tunasoma ndani ya Matendo 13:1: “Na huko Antiokia katika Kanisa lililo kuwako palikuwa na manabii na waalimu……” kiisha ma jina ya watumishi hawa tunayapewa. Wakati walipo kuwa wakimtumikia BWANA katika huduma zao, Roho Mtakatifu akasema:
“Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa ile kazi niliyowaitia”. Tambueni kwamba wali waongoosheya mikono, kama alama ya kuwasindikiza na siyo kwa ajili ya kuwa weka katika huduma yao, kwa maana kulikuwa muda murefu ambamo hii ilikuwa imekwisha kuthibitishwa na Mungu. Kwenye shahiri 4 imesemwa: “Barnaba na Sauli walio tumwa na Roho Mtakatifu…”
Ni ile ndiyo tunayo hitaji leo. Watu wa Mungu ambao mwito na huduma viwe vimefunuliwa na ku thibitishwa ndani ya kusanyiko mbele waweze kwanda zao.
Leo, tunasikia mara kwa mara watu wakisema: “Tunaye Kristo na ndiyo sababu hatuitaji wala mitume, wala manabii”. Je kwa hayo wanataka kusema ya kwamba Kanisa la pale mwanzo hali kuwa naye kristo na ndiyo sababu mungu aliweka mitume, Manabii, na Waalimu na ndivyo hivi? Wanataka kusema ya kwamba Kanisa la Antiokia halikukuwa naye Kristo, kwa sababu kule manabii na waalimu walitimiza huduma yao chini ya uogozi wa Roho mtakatifu? Ni kinyume cha yale, ndiyo kweli. Kila Kanisa ambalo litakuwa kweli kweli na Yesu Kristo litakuwa pia na kazi ya huduma ndani yake.
Kazi ya Mtume ina sehemu kubwa kwa kuenda katika shamba la utume, siyo tu kwa ajili ya kuihubiri injili kule, kama ilivyo kwa wainjilisti, bali kwa kubakia pahali pamoja mpaka kanisa lizaliwe na kwamba wazee waweze kuwekwa pale. Kazi ya Nabii wa Kanisa la Agano jipya kuwekawazi ao kueleza Neno la Kinabii, kulingana na maana yake ya kiungu. Katika 1 Wakorinto 14:29, Paulo anaandika:
“Na manabii wanene walili ao watatu, na wengine wapambanue, lakini mwengine aliye keti akifunuliwa Neno, Yule wa kwanza anyamaze. Kwa maana ninyi nyote mwaweza kuhutubu mmoja, ili wote wapate kujifunza na wote wafarijiwe. Na Roho za nabii huwatii manabii”.
Kwa nini Biblia ingetoa habari kama hii, kama Mungu hangelikuwa na nia ya kuongoza katika matendo watu wake kupitia zile huduma za kinabii? Ni wazi ya kwamba hapa haihusu zawadi ya unabii. Tunaiona kwa jumla ya mawazo yanayo kuwa ndani, kwa maana imeandikwa: “Lakini mwengine aliye keti akifunuliwa Neno, Yule wa kwanza na anyamaze.” Bali kamwe, unabii unapotolewa, mutu hawezi kunyamazishwa. Unabii ni Neno linalotoka moja kwa moja kwa Mungu, kwa upuiziyo wa Roho Mtakatifu.
Paulo anasema kwenye shahiri ya 6: “… Nitawafaidia nini, isipokuwa nasema nanyi kwanjia ya ufunuo, ao kwa njia ya elimu, ao kwa njia ya unabii ao kwa njia ya mafundisho?”
Wengi wananzania nabii kama mwenye kutangulia tu kusema mambo yatakayo kuja pekee, ao anayefunuwa vitu vilivyo sasa mbavyo vinahusu Kanisa. Bali, kazi ya kinabii inajifunua ndani ya Agano jipya kwa namna mbali mbali; kwa namna ya kipekee katika kulitangaza Neno kwa Kanisa, chini ya uongozi na kwa ufunuo wa Roho Mtakatifu kwa namna iliyo sahihi. Mara kwa mara zinakutwa, zikiungana sana, kazi ya Mtume, ile ya Nabii, na ile ya Mwalimu.
Katika 2 Timotheo 1:11, Paulo anaandika: “…Naliwekwa niwe muhubiri, na mtume na mwalimu wa mataifa”. Kwenye shahiri ya 13, anasema: “Shika kielelezo cha ma neno yenye uzima uliyo ya sikia kwangu, katika imani na upendo ulio katika Kristo Yesu”.
Kama vile tunatoka kuitaja, kazi ya Mwalimu imeungwa sana kwa ile ya Mtume na ya Nabii. Mwalimu hana kazi ya nabii ambayo ni ya kuonyesha sehemu ya unabii na ya historia ya wokovu, bali amepewa kueleza kwa urefu yale yaliyo funuliwa na Mungu kwa huduma ya kinabii na kuyafundisha kwa Kanisa . Mwalimu anachukua sawa sawa hali zote za mafundisho yaki Biblia ambayo yanalihusu Kanisa.
Kazi ya Mwinjilisti inajulikana vizuri na sisi, bali, tutamchukua mwinjilisti Filipo, wa Matendo 8, ili atusaidie kuwa mfano. Muinjilisti ni mtumishi wa Mungu anaye jaa Roho Mtakatifu, anayetangaza injili ya Yesu Kristo kwa nguvu, na ambaye kazi imethbitishwa kwa namna ya kipekee kwa alama, miujiza na uponyaji wa wangojwa.
Kama zile huduma nyingine inne, ile ya Mchungaji haitiliwe mipaka tu kwa Kanisa la mahali, bali ina husu Kanisa lote la BWANA. Mchungaji anabeba daraka la afia njema ya Kanisa. Mchungaji aliwekwa na Mungu anajua ni chakula gani cha kiroho Yule “Mchungaji Mwema” alitangulia kuangiza kwa ajili ya kondoo zake.
Tunasoma katika 1 Wakorintho 12:28: “Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wakwanza Mitume, wapili Manabii, watatu Waalimu…” Basi tunaona kwamba kusanyiko haliundwe na watu, bali na Yesu Kristo tunatambua pia ya kwamba yote inayojiita Kanisa la BWANA haliko Kanisa tu kwa sababu hiyo maelezo haya ya kibiblia ya metolewa ili kumusaidia kila mmoja kwa kujihoji mwenyewe, ili kuona kama ni wa kwamba Mungu ameweka ndani ya Kanisa:“Kwanza Mitume, pili Manabii, watatu Waalimu na kadhalika…”
Wote ambao nisehemu ya Kanisa la Yesu Kristo wana heshimu utaratibu wa kiungu na wanatambua huduma ya mtumishi aliye tumwa na Mungu, iweni ile ya mtume, ya nabii ao ya mwalimu. Yote ambayo Mungu aliyo weka kwa ujenzi wa Kanisa, wale ambao wanao kua sehemu ya mwili wa Kristo wanaichukua na shukrani. Kwa kawaida watu, wanatambua huduma ya muchungaji ao ya muinjilisti, bali ya nayo husu zile tatu zingine ile inaonekana kuwa ni tofauti sana. Lakini Mungu aliamua ya kwamba hizi zilikua za lazima na aliziwekea ujenzi wa Kanisa.
Tunasoma ndani ya Matendo 13:1: “Na huko Antiokia katika Kanisa lililo kuwako palikuwa na manabii na waalimu……” kiisha ma jina ya watumishi hawa tunayapewa. Wakati walipo kuwa wakimtumikia BWANA katika huduma zao, Roho Mtakatifu akasema:
“Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa ile kazi niliyowaitia”. Tambueni kwamba wali waongoosheya mikono, kama alama ya kuwasindikiza na siyo kwa ajili ya kuwa weka katika huduma yao, kwa maana kulikuwa muda murefu ambamo hii ilikuwa imekwisha kuthibitishwa na Mungu. Kwenye shahiri 4 imesemwa: “Barnaba na Sauli walio tumwa na Roho Mtakatifu…”
Ni ile ndiyo tunayo hitaji leo. Watu wa Mungu ambao mwito na huduma viwe vimefunuliwa na ku thibitishwa ndani ya kusanyiko mbele waweze kwanda zao.
Leo, tunasikia mara kwa mara watu wakisema: “Tunaye Kristo na ndiyo sababu hatuitaji wala mitume, wala manabii”. Je kwa hayo wanataka kusema ya kwamba Kanisa la pale mwanzo hali kuwa naye kristo na ndiyo sababu mungu aliweka mitume, Manabii, na Waalimu na ndivyo hivi? Wanataka kusema ya kwamba Kanisa la Antiokia halikukuwa naye Kristo, kwa sababu kule manabii na waalimu walitimiza huduma yao chini ya uogozi wa Roho mtakatifu? Ni kinyume cha yale, ndiyo kweli. Kila Kanisa ambalo litakuwa kweli kweli na Yesu Kristo litakuwa pia na kazi ya huduma ndani yake.
Kazi ya Mtume ina sehemu kubwa kwa kuenda katika shamba la utume, siyo tu kwa ajili ya kuihubiri injili kule, kama ilivyo kwa wainjilisti, bali kwa kubakia pahali pamoja mpaka kanisa lizaliwe na kwamba wazee waweze kuwekwa pale. Kazi ya Nabii wa Kanisa la Agano jipya kuwekawazi ao kueleza Neno la Kinabii, kulingana na maana yake ya kiungu. Katika 1 Wakorinto 14:29, Paulo anaandika:
“Na manabii wanene walili ao watatu, na wengine wapambanue, lakini mwengine aliye keti akifunuliwa Neno, Yule wa kwanza anyamaze. Kwa maana ninyi nyote mwaweza kuhutubu mmoja, ili wote wapate kujifunza na wote wafarijiwe. Na Roho za nabii huwatii manabii”.
Kwa nini Biblia ingetoa habari kama hii, kama Mungu hangelikuwa na nia ya kuongoza katika matendo watu wake kupitia zile huduma za kinabii? Ni wazi ya kwamba hapa haihusu zawadi ya unabii. Tunaiona kwa jumla ya mawazo yanayo kuwa ndani, kwa maana imeandikwa: “Lakini mwengine aliye keti akifunuliwa Neno, Yule wa kwanza na anyamaze.” Bali kamwe, unabii unapotolewa, mutu hawezi kunyamazishwa. Unabii ni Neno linalotoka moja kwa moja kwa Mungu, kwa upuiziyo wa Roho Mtakatifu.
Paulo anasema kwenye shahiri ya 6: “… Nitawafaidia nini, isipokuwa nasema nanyi kwanjia ya ufunuo, ao kwa njia ya elimu, ao kwa njia ya unabii ao kwa njia ya mafundisho?”
Wengi wananzania nabii kama mwenye kutangulia tu kusema mambo yatakayo kuja pekee, ao anayefunuwa vitu vilivyo sasa mbavyo vinahusu Kanisa. Bali, kazi ya kinabii inajifunua ndani ya Agano jipya kwa namna mbali mbali; kwa namna ya kipekee katika kulitangaza Neno kwa Kanisa, chini ya uongozi na kwa ufunuo wa Roho Mtakatifu kwa namna iliyo sahihi. Mara kwa mara zinakutwa, zikiungana sana, kazi ya Mtume, ile ya Nabii, na ile ya Mwalimu.
Katika 2 Timotheo 1:11, Paulo anaandika: “…Naliwekwa niwe muhubiri, na mtume na mwalimu wa mataifa”. Kwenye shahiri ya 13, anasema: “Shika kielelezo cha ma neno yenye uzima uliyo ya sikia kwangu, katika imani na upendo ulio katika Kristo Yesu”.
Kama vile tunatoka kuitaja, kazi ya Mwalimu imeungwa sana kwa ile ya Mtume na ya Nabii. Mwalimu hana kazi ya nabii ambayo ni ya kuonyesha sehemu ya unabii na ya historia ya wokovu, bali amepewa kueleza kwa urefu yale yaliyo funuliwa na Mungu kwa huduma ya kinabii na kuyafundisha kwa Kanisa . Mwalimu anachukua sawa sawa hali zote za mafundisho yaki Biblia ambayo yanalihusu Kanisa.
Kazi ya Mwinjilisti inajulikana vizuri na sisi, bali, tutamchukua mwinjilisti Filipo, wa Matendo 8, ili atusaidie kuwa mfano. Muinjilisti ni mtumishi wa Mungu anaye jaa Roho Mtakatifu, anayetangaza injili ya Yesu Kristo kwa nguvu, na ambaye kazi imethbitishwa kwa namna ya kipekee kwa alama, miujiza na uponyaji wa wangojwa.
Kama zile huduma nyingine inne, ile ya Mchungaji haitiliwe mipaka tu kwa Kanisa la mahali, bali ina husu Kanisa lote la BWANA. Mchungaji anabeba daraka la afia njema ya Kanisa. Mchungaji aliwekwa na Mungu anajua ni chakula gani cha kiroho Yule “Mchungaji Mwema” alitangulia kuangiza kwa ajili ya kondoo zake.