BARUA YA MZUNGUKO Septemba 1972
Katika Kanisa la BWANA, Wazee hawa wekwi kwa uchaguzi wa wengi (ni kusema kwa kura), lakini na mitume, ao na watumishi wa mungu walio tajwa na wao. Paulo na Barnaba ni mfano mzuri wa hayo. Tunasoma katika Matendo 14:23: “Na walipokwisha kuwachagulia wazee katika kila Kanisa, na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka katika mikono ya BWANA waliyemwamini”.
Katika Tito 1:5 Paulo anandika: “Kwa sababu hii nalikuancha Krete, ili uyatengeneze yalio punguka na kuweka wazee katika kila mji kama vile nilivyokuamuru”.
Maaskofu wanaofanya pia nisehemu ya wazee, kwa maana wako, kama vile matafsiri mengi yana ligeuza, waangalizi wa Kanisa. Hivi neno hili halina maana wanayo lipatiya mara kwa mara leo; Askofu ni mwaangalizi, ao Msimamizi katika kusanyiko la mahali, na ni mmoja wa Wazee. Yule anaye waza kwamba kuelewa kwa sasa kwa tamshi la askofu ni sawa, na akumbuke kila mara kwamba, katika Kanisa la Filipi, mulikuwamo Maaskofu wengi. Tunasoma katika Wafilipi 1:1: “Paulo na Timoteo, watumishi wa Yesu Kristo kwa watakatifu katika Yesu-Kristo walio Filipi kwa ma Askofu na kwa mashemasi..”
Tunaona hivi kwamba katika Kanisa la mahali, mulikuwamo ma Askofu wengi.
Maaskofu hawa walikua wazee wa Kanisa, katika 1 Timoteo 3, tunasoma haya: “Kama mtu akitamani kazi ya askofu anatamani kazi njema”.
Tangu shahiri ya 2, tunaonyeshwa nguvu na uwezo vinavyo hitajika kwa mzee. Anapashwa kuwa bila lawama na wenye kuongoza wema nyumba yake mwenyewe. Hapashwi kua mwamini mupya na awe mwenyi kushudiwa vema na watu wa inje, inafaa awe mwenye kuheshimika, mwenye kiasi katika mwenendo wake, mkaribishaji na anaye jua kufundisha kama vile mwalimu aliye wekwa na mungu kwa ajili ya Kanisa la mahali, na wanapashwa kuwa na uwezo wa kulioyesha mafundisho ya Biblia.
Katika 1 Wathesalonike 5:12-13 Paulo anaandika: “Lakini ndungu, tunataka muwatambue wale wanaojitabisha kwa ajili yenu, na kuwa simamia ninyi katika BWANA na kuwaonyeni. Mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi”. Ndiyo msimamo sawa na walazima katika Kanisa la mahali.
Hali wezi tukupumuzisha matumaini yake juu ya mitume, manabii, wachungaji, waalimu na wainjilisti, lakini linapashwa pia kuwa na matumaini tele katika wazee na wachungaji wa kanisa. Ni hivi tu ndivyo amani na Baraka vina dhaminiwa katika Kanisa.
Katika 1 Timoteo. 5:17, imeandikwa hivi: “Wazee watawalao vema nawahesabiwe kustihili heshima maradufu, hasa wao wajitaabishao kwa kuhutubu na kufundisha.” Wazee watimize kazi yao kwa furaha.Ni hivi tu ndivyo wataweza kufanya kazi yao yakuhubiri na ya kufudisha pamoja na kujitoa kabisa. Ni kwa kweli tu kuhusu wazee ndio Mungu aliagiza ulinzi wa kipekee kanisa, Wakati anaposema kwa njia ya Paulo kwenye shahiri 19: “Usikubali mashitaka juu ya mzee ila kwa vinywa vya mashaidi wawili ao watatu”.
Mnajua ya kwamba kila mara watu wanapataka kwa urahisi kitu fulani chakusema juu ya wale ambao mungu aliweka na ambao anowatumia kwa ajili ya kubarikiwa kwa Kanisa.Mutu hange lipashwa kupokea neno mbaya juu ya mzee, isipokua kwamba amelisikia toka katika vinya vya mashahidi wa tatu ambao hawakupatana kabisa ile haina thamani yoyote, ikiwa watu watatu wamepatana kwa kuleta shitaka inafaa wawe mashahidi watatu wasio patina, ambao hawa kuonana mbele kuhusu jambo lile. Vizuri zaidi ingelikuwa kwamba kanuni hii ishiikwe na jumla yote ya shirika, hivi kuteta yote ya mitaani itakuwa imemalizika. Nina washauri kwamba ikiwa unaletewa shitaka juu ya ndungu ao juu ya dada, usilipokee tu isipokua mbele ya hawa. Mtu hangeli pashwa kuingia katika mazungumuzo kuhusu jambo lile bila kwanza kumupatia mapema mshitakiwa uwezo wa kujitetea.
Katika 1 Timoteo 4:13, Paulo anaandika: “Hata nitakapo kuja ufanye bidii katika kusoma na kuonya na kufundisha”.
Kisha anaonya mwenzake wa kazi kuzoeza karama alio ipekea toka kwa Mungu. Katika yaliyomo inaonekana kama Timoteo alipokea zawadi hii kwa kuwekewa mikono ya Wazee. Imeandikwa kwenye shahiri la 14: “Usiache kuitumia karama iliyomo ndani yako, uliyopewa kwa unabii na kuwekewa mikono ya wazee. Uyatafakari hayo; ukae katika hayo; ili kuendelea kwako kuwe dhahiri kwa watu wote”. Kwa kumaliza anapana onyo, hili lisilo na mzaha: “… jitunze nafsi yako, na mafundisho yako, dumu katika mambo hayo …”
Paulo alitia thamani kubwa kwamba wenzake wa kazi wasimamie kwenye mafundisho yale yale aliyopokea kwa BWANA. Wazee wakiisha kuwekwa na mitume walio anza lile shirika, wanabeba madaraka mbele ya Mungu ya kuendelea kupana lile fundisho bila kosa. Kazi yao na madaraka yao ni kubwa zaidi ginsi watu wasivyozania kwa kawaida. Wakati wa safari moja ya Paulo, aliitisha wazee wa Kanisa. Tunakuta maelezo kuhusu hayo katika Matendo 20:17: “Toka Mileto, Paulo akatuma watu kwenda Efeso, akwaita wazee wa Kanisa”. Paulo hakualikaka kamwe mitume, manabii na waalimu, lakini aliwaitisha kwake wazee wa Kanisa la Efeso.
Tunaweza soma sura yote ili kuona ni kwa namna gani alisema na wazee, lakini tuta taja tu shahiri ya 27, ambapo tunaambiwaa: “Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiri kusudi lote la Mungu, jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho mtajatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpaka kulilisha Kanisa lake Mungu, alilonunua kwa damu yake mwenyewe…”
Tambueni ya kwamba pale ku shahili ya 17, wandungu wanaitwa wazee, lakini kushahiri ya 28, wanaitwa pia maaskofu (waangalizi). Ni yamuhimu sana kutambua ya kwamba wazee wa kanisa hawachanguliwi kwa kura ya kanisa, lakini kwamba waliiwekwa vizuri na kazi kama vile waagalizi na Roho Mtakatifu. Wazee wana pia kazi ya kuombea wagonjwa walio sehemu ya Kanisa, wakati muinjilisti kama vile Filipo kule Samaria anaweza kuomba juu ya wote wanao kuja mkutanoni. Imeandikwa katika Yakobo 5:14:
“Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa Kanisa nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la BWANA, Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa ngonjwa Yule na BWANA atamwinua hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa”.
Tunaweza kutosha katika maneno haya, kama vile tayari tumekwisha kuonyesha pale juu sana kwamba waamini wa shiriki moja siyo kazi yao kuweka matumaini yao kuhusu jambo hili kwa muinjilisti anaye pita lakini kwamba wanapashwa kuyapatia wazee wa Kanisa la mahali walio tayari kila mara kuomba pamoja na wagonjwa. Inglikuwa ya kushauri ya kwamba kila motto wa mungu asome mara tena kwa makini katika maombi kila shahiri la Biblia linayosema kuhusu jambo hili ili tupate mazoezi, upya katika Kanisa la Mungu aliye hai matokeo yaliyo barikiwa ambayo tunangojea kwa hamu kubwa tangu muda murefu.
Imeandikwa katika Waebrania 13.17: “Watiini wenye kuwaongoza, na kunyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya Roho zenu, kama watu watakao toa hesabu”. Petro anaandika katika 1 Petro 5.1: “Nawasihi wazee walio kwenu mimi niliye mzee mwenzi wao na shahidi wa mateso ya kristo, na mshirika wa utukufu utakao funuliwa baadaye, lichungeni kundi la Mungu lililo kwenu, na kulimamia, siku kwa kulazimishwa, bali kwa hiari kama Mungu atakavyo, si kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo. Wala si kama wajifanyao ma bwana juu ya mitaa yao, bali kwa kujifanya vielelezo kwa lile kundi. Na mchungaji mkuu atakapo dhihirishwa mtaipokea taji ya utukufu isiyo kauka”.
Petro akiwa mtume, alikua akijichukua pia kua msimamizi wa kanisa la mahali, sawa sawa na wazee, kwa maana kanisa linaundwa na makusanyiko yote ya mahali. Yote yanayo tokeya katika Kanisa la Mungu aliye hai, iwe kwa njia ya manabii, mitume, wachungaji, waalimu, wainjilisti ao wazee na maaskofu, yote yanatimia kwa ushiraka wa kiungu pamoja na kichwa Yesu-Kristo, na katika uhusiano wa moja kwa wengine.
Nina tambua vema katika dhamiri yangu ya kwamba somo hii imezungumuziwa kwa ufupi, lakini ninayo nataka kwamba kwa yale, kila mmoja awe amesisimuliwa ili kujiigiza zaidi sana katika kilindi cha somo hii. Tusimame imara kwa jambo ambalo ni kwamba: Kanisa la Yesu Kristo siyo matengenezo ya kibinadamu ao kanuni ya imani ambamo wanaweza kuingia wanageuka kuwa viungo vya jamii ya kiulimwengu. Hapana! Ni kitu kilicho wekwa na Mungu-mwili wenye viungo hai. Kila mwanamemba wa Kanisa amezaliwa upya kwa Roho wa Mungu na amejazwa na Roho, ili awekwe chini ya uongozi wa Roho. Kanisa la BWANA halijui hata “kiungo kimoja kisicho kuwa na kazi”.
Akitendwa kwa upande wa Mungu
Br. Frank
Katika Kanisa la BWANA, Wazee hawa wekwi kwa uchaguzi wa wengi (ni kusema kwa kura), lakini na mitume, ao na watumishi wa mungu walio tajwa na wao. Paulo na Barnaba ni mfano mzuri wa hayo. Tunasoma katika Matendo 14:23: “Na walipokwisha kuwachagulia wazee katika kila Kanisa, na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka katika mikono ya BWANA waliyemwamini”.
Katika Tito 1:5 Paulo anandika: “Kwa sababu hii nalikuancha Krete, ili uyatengeneze yalio punguka na kuweka wazee katika kila mji kama vile nilivyokuamuru”.
Maaskofu wanaofanya pia nisehemu ya wazee, kwa maana wako, kama vile matafsiri mengi yana ligeuza, waangalizi wa Kanisa. Hivi neno hili halina maana wanayo lipatiya mara kwa mara leo; Askofu ni mwaangalizi, ao Msimamizi katika kusanyiko la mahali, na ni mmoja wa Wazee. Yule anaye waza kwamba kuelewa kwa sasa kwa tamshi la askofu ni sawa, na akumbuke kila mara kwamba, katika Kanisa la Filipi, mulikuwamo Maaskofu wengi. Tunasoma katika Wafilipi 1:1: “Paulo na Timoteo, watumishi wa Yesu Kristo kwa watakatifu katika Yesu-Kristo walio Filipi kwa ma Askofu na kwa mashemasi..”
Tunaona hivi kwamba katika Kanisa la mahali, mulikuwamo ma Askofu wengi.
Maaskofu hawa walikua wazee wa Kanisa, katika 1 Timoteo 3, tunasoma haya: “Kama mtu akitamani kazi ya askofu anatamani kazi njema”.
Tangu shahiri ya 2, tunaonyeshwa nguvu na uwezo vinavyo hitajika kwa mzee. Anapashwa kuwa bila lawama na wenye kuongoza wema nyumba yake mwenyewe. Hapashwi kua mwamini mupya na awe mwenyi kushudiwa vema na watu wa inje, inafaa awe mwenye kuheshimika, mwenye kiasi katika mwenendo wake, mkaribishaji na anaye jua kufundisha kama vile mwalimu aliye wekwa na mungu kwa ajili ya Kanisa la mahali, na wanapashwa kuwa na uwezo wa kulioyesha mafundisho ya Biblia.
Katika 1 Wathesalonike 5:12-13 Paulo anaandika: “Lakini ndungu, tunataka muwatambue wale wanaojitabisha kwa ajili yenu, na kuwa simamia ninyi katika BWANA na kuwaonyeni. Mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi”. Ndiyo msimamo sawa na walazima katika Kanisa la mahali.
Hali wezi tukupumuzisha matumaini yake juu ya mitume, manabii, wachungaji, waalimu na wainjilisti, lakini linapashwa pia kuwa na matumaini tele katika wazee na wachungaji wa kanisa. Ni hivi tu ndivyo amani na Baraka vina dhaminiwa katika Kanisa.
Katika 1 Timoteo. 5:17, imeandikwa hivi: “Wazee watawalao vema nawahesabiwe kustihili heshima maradufu, hasa wao wajitaabishao kwa kuhutubu na kufundisha.” Wazee watimize kazi yao kwa furaha.Ni hivi tu ndivyo wataweza kufanya kazi yao yakuhubiri na ya kufudisha pamoja na kujitoa kabisa. Ni kwa kweli tu kuhusu wazee ndio Mungu aliagiza ulinzi wa kipekee kanisa, Wakati anaposema kwa njia ya Paulo kwenye shahiri 19: “Usikubali mashitaka juu ya mzee ila kwa vinywa vya mashaidi wawili ao watatu”.
Mnajua ya kwamba kila mara watu wanapataka kwa urahisi kitu fulani chakusema juu ya wale ambao mungu aliweka na ambao anowatumia kwa ajili ya kubarikiwa kwa Kanisa.Mutu hange lipashwa kupokea neno mbaya juu ya mzee, isipokua kwamba amelisikia toka katika vinya vya mashahidi wa tatu ambao hawakupatana kabisa ile haina thamani yoyote, ikiwa watu watatu wamepatana kwa kuleta shitaka inafaa wawe mashahidi watatu wasio patina, ambao hawa kuonana mbele kuhusu jambo lile. Vizuri zaidi ingelikuwa kwamba kanuni hii ishiikwe na jumla yote ya shirika, hivi kuteta yote ya mitaani itakuwa imemalizika. Nina washauri kwamba ikiwa unaletewa shitaka juu ya ndungu ao juu ya dada, usilipokee tu isipokua mbele ya hawa. Mtu hangeli pashwa kuingia katika mazungumuzo kuhusu jambo lile bila kwanza kumupatia mapema mshitakiwa uwezo wa kujitetea.
Katika 1 Timoteo 4:13, Paulo anaandika: “Hata nitakapo kuja ufanye bidii katika kusoma na kuonya na kufundisha”.
Kisha anaonya mwenzake wa kazi kuzoeza karama alio ipekea toka kwa Mungu. Katika yaliyomo inaonekana kama Timoteo alipokea zawadi hii kwa kuwekewa mikono ya Wazee. Imeandikwa kwenye shahiri la 14: “Usiache kuitumia karama iliyomo ndani yako, uliyopewa kwa unabii na kuwekewa mikono ya wazee. Uyatafakari hayo; ukae katika hayo; ili kuendelea kwako kuwe dhahiri kwa watu wote”. Kwa kumaliza anapana onyo, hili lisilo na mzaha: “… jitunze nafsi yako, na mafundisho yako, dumu katika mambo hayo …”
Paulo alitia thamani kubwa kwamba wenzake wa kazi wasimamie kwenye mafundisho yale yale aliyopokea kwa BWANA. Wazee wakiisha kuwekwa na mitume walio anza lile shirika, wanabeba madaraka mbele ya Mungu ya kuendelea kupana lile fundisho bila kosa. Kazi yao na madaraka yao ni kubwa zaidi ginsi watu wasivyozania kwa kawaida. Wakati wa safari moja ya Paulo, aliitisha wazee wa Kanisa. Tunakuta maelezo kuhusu hayo katika Matendo 20:17: “Toka Mileto, Paulo akatuma watu kwenda Efeso, akwaita wazee wa Kanisa”. Paulo hakualikaka kamwe mitume, manabii na waalimu, lakini aliwaitisha kwake wazee wa Kanisa la Efeso.
Tunaweza soma sura yote ili kuona ni kwa namna gani alisema na wazee, lakini tuta taja tu shahiri ya 27, ambapo tunaambiwaa: “Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiri kusudi lote la Mungu, jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho mtajatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpaka kulilisha Kanisa lake Mungu, alilonunua kwa damu yake mwenyewe…”
Tambueni ya kwamba pale ku shahili ya 17, wandungu wanaitwa wazee, lakini kushahiri ya 28, wanaitwa pia maaskofu (waangalizi). Ni yamuhimu sana kutambua ya kwamba wazee wa kanisa hawachanguliwi kwa kura ya kanisa, lakini kwamba waliiwekwa vizuri na kazi kama vile waagalizi na Roho Mtakatifu. Wazee wana pia kazi ya kuombea wagonjwa walio sehemu ya Kanisa, wakati muinjilisti kama vile Filipo kule Samaria anaweza kuomba juu ya wote wanao kuja mkutanoni. Imeandikwa katika Yakobo 5:14:
“Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa Kanisa nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la BWANA, Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa ngonjwa Yule na BWANA atamwinua hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa”.
Tunaweza kutosha katika maneno haya, kama vile tayari tumekwisha kuonyesha pale juu sana kwamba waamini wa shiriki moja siyo kazi yao kuweka matumaini yao kuhusu jambo hili kwa muinjilisti anaye pita lakini kwamba wanapashwa kuyapatia wazee wa Kanisa la mahali walio tayari kila mara kuomba pamoja na wagonjwa. Inglikuwa ya kushauri ya kwamba kila motto wa mungu asome mara tena kwa makini katika maombi kila shahiri la Biblia linayosema kuhusu jambo hili ili tupate mazoezi, upya katika Kanisa la Mungu aliye hai matokeo yaliyo barikiwa ambayo tunangojea kwa hamu kubwa tangu muda murefu.
Imeandikwa katika Waebrania 13.17: “Watiini wenye kuwaongoza, na kunyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya Roho zenu, kama watu watakao toa hesabu”. Petro anaandika katika 1 Petro 5.1: “Nawasihi wazee walio kwenu mimi niliye mzee mwenzi wao na shahidi wa mateso ya kristo, na mshirika wa utukufu utakao funuliwa baadaye, lichungeni kundi la Mungu lililo kwenu, na kulimamia, siku kwa kulazimishwa, bali kwa hiari kama Mungu atakavyo, si kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo. Wala si kama wajifanyao ma bwana juu ya mitaa yao, bali kwa kujifanya vielelezo kwa lile kundi. Na mchungaji mkuu atakapo dhihirishwa mtaipokea taji ya utukufu isiyo kauka”.
Petro akiwa mtume, alikua akijichukua pia kua msimamizi wa kanisa la mahali, sawa sawa na wazee, kwa maana kanisa linaundwa na makusanyiko yote ya mahali. Yote yanayo tokeya katika Kanisa la Mungu aliye hai, iwe kwa njia ya manabii, mitume, wachungaji, waalimu, wainjilisti ao wazee na maaskofu, yote yanatimia kwa ushiraka wa kiungu pamoja na kichwa Yesu-Kristo, na katika uhusiano wa moja kwa wengine.
Nina tambua vema katika dhamiri yangu ya kwamba somo hii imezungumuziwa kwa ufupi, lakini ninayo nataka kwamba kwa yale, kila mmoja awe amesisimuliwa ili kujiigiza zaidi sana katika kilindi cha somo hii. Tusimame imara kwa jambo ambalo ni kwamba: Kanisa la Yesu Kristo siyo matengenezo ya kibinadamu ao kanuni ya imani ambamo wanaweza kuingia wanageuka kuwa viungo vya jamii ya kiulimwengu. Hapana! Ni kitu kilicho wekwa na Mungu-mwili wenye viungo hai. Kila mwanamemba wa Kanisa amezaliwa upya kwa Roho wa Mungu na amejazwa na Roho, ili awekwe chini ya uongozi wa Roho. Kanisa la BWANA halijui hata “kiungo kimoja kisicho kuwa na kazi”.
Akitendwa kwa upande wa Mungu
Br. Frank