Baruwa ya Mzungoko - Mwisho wa mwaka 2018

Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazita fautikani!

« »

Kwa utukufu wa Mungu, nina weza kushuhudia yale niliyo pewa kwa neema yake. Kwa myaka 70 iliopita niliishi mazoezi yangu na kutakasiya BWANA maisha yangu. Ni baada ya vita ya pili ya dunia nilipo mkubali Yesu Kristo kama mkombozi wangu binafsi, wakati ya mukutano wakwanza ya utangazaji wa injili chini ya hema iliyo fanyika kwa Juni, 1948. Karibu ya Juni, 14, 1948, ndipo David Ben-Gurion alitangaza kuanza kwa Ichi ya Israeli.

Kwa Juni, 1949, wakati wa mikutano ya ajabu ya kipentecosti huko Hambourg, ndipo nilipo pokea ubatizo wa Roho Mtakatifu. Kwa Ogusti 1955 huko Karlsuhe, ni lihuzuria mara ya kwanza mukutano wa ndugu Branham na sikuya jumatatu, 15, 1955, nili mkuta nikiwa pekeyangu mara ya kwanza. Siku Juni, 12, 1958 huko Dallas huko Taxas, nilipata mudawakuongea naye maongezi ya kutosha. Siku, Aprili, 2, 1962 nilipata mwito wa hudma yangu kwa namna ya mazoezi ya yangu. Kwa kweli tangu wakati ule naweza kusema, „Maisha yangu yamekuwa katika kazi ya BWANA wangu, kwenye miji ya karibu hata na kwa inchi za mbali.“

Nime kwisha toa ushuhuda wa mazoezi yangu yenye nguvu nyingi mara ya siku Aprili, 2, 1962. Ninataka niseme tena kuhusu vitendo vilivyo tendeka kwa mwaka 1962. Kupita simu nilitayarisha mazungumuzo ya kipekee pamoja na ndugu Branham huko Jeffersonville kwe mwanzo ya mwezi wa Disemba. Siku ya Jumapili, 2, Disemba nilikaa pamoja na waabudu kwenye maskani ya ndugu Branham. Hapo mchungaji ndugu Neville, aliomba makutano wasimame kwa ajili ya maombi, Ndugu Heckerson ali paaza sauti kubwa: „Asema BWANA Mungu: Mwanangu Frank, haukuvuka bahari kubwa kwa bure. Usikate tumaini kwa sababu hukumkuta nabiiwangu siku ya jana, utakutana naye siku ya kesho, naye atakueleza yote yaliyo moyoni mwako“.

Mchungaji Neville aliniita katika mikutano miwili nilio shiriki kuwa na Neno mbele ya kusanyiko. Nilikuwa na heri ya kuhubiri mara mbili kwenye madhabahu ambapo nabii alihubiria mahubiri yake.

Ilitimia kama vile Ndugu Hickerson alivyo isema katika unabii: Ndugu Branham alinitoa kwenye Hotel siku ya Jumatatu, na tuliongea kwamuda mrefu. Mbele ya wandugu wawili, Fred Sothman na Banks wood, nabii alirudilia maneno ambao BWANA alikuwa ameniambia siku, Aprili, 2, 1962. Aliniambia kwamba njaa haiku linganishwa na chakule cha mwili, kama vile nilivyo wazia baali ilikuwa ni chakula cha Kiroho ambacho ningeweza kugawa. Ndugu Branham alishushuhudia mwito wangu kupitia ufunuo na alijibu maswali yaliyo kuwe moto katika moyo wangu. Kwa kumaliza, alisema: „Ndugu Frank subiri kwa ugawiji wa chakula mpaka utakapo pata mabaki yake“. Mabaki yana kutwa katika mahubiri Kuhusu mihuri saba ya machi, 1963 mpaka kwa mahubiri ya mutu wa Mungu kwa Disemba, 1965, ambao ilitumwa kwangu. Ni kwa wakati huo ugawaji wa chakula ungelianza.

Ugawaji wa chakula cha kiroho unastahili kuwemo na utangazaji wa Neno lililo andikwa: „Angalia, sikuinakuja, asema BWANA Mungu, ambazo nitaleta njaa katika Nchi; si njaa ya kukosa chakula, wala kiu ya kukosa maji, baali ya kukosa kuyasikia maneno ya BWANA…“ (Amos 8:11) BWANA alisema: „Imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Mungu.“ (Mt 4:4)

Mwito ya hudma niya muhimu kwangu kama vile BWANA alivyo ongea na Ibrahimu katika mwanzo 12 na Musa katika kutoka 3 na Yoshua katika sura ya kwanza ao kama vile ilivyo kuwa hata kwa Yohana mbatizaji katika Luka 3, na kwa Paulo katika Matendo 9 na kwa Ndugu Branham siku Juni, 11, 1933 na siku Mai, 7, 1946. Kila kuitwa na kutumwa kwa Kimungu kulikuwa kukia mbatanishwa na mpango wa Okuvu wa Mungu: „Kweli, kweli na waambieni: anayempokea mtu Yule ni nayemtuma, anipokea; naye anaye nipokea mimi, anampokea Yule aliye nituma.“ (Yn 13:20)

Tena ikafika siku ya Jumapili, Septemba, 1976, wakati BWANA mwaminifu aliiweka utume aliyo nipa katika maandiko: „Mutumishi wangu, nimekuweka kulingana na Mt 24:45-47 kwa ugawaji wachakula kwa wakati unao faa“.

Ndugu Branham aliona katika ono ginsi alivyo weka chakula tofauti kwenye rafu. Aliongea kuhusu hiyo siku Aprili, 1, na siku Disemba, 30, 1962. Nimepewa utume Wa Kimungu wa kutayarisha vema chakula kilicho wekwa na kukiweka kwenye meza ya BWANA kwa ajili ya taifa la Mungu. Na wandugu wote duniani pote wana gawa chakula kile kile cha kiroho, wakati wanapo hubiri Neno lililo funuliwa.

Kwa utukufu wa Mungu, nina weza kushuhudia yale niliyo pewa kwa neema yake. Kwa myaka 70 iliopita niliishi mazoezi yangu na kutakasiya BWANA maisha yangu. Ni baada ya vita ya pili ya dunia nilipo mkubali Yesu Kristo kama mkombozi wangu binafsi, wakati ya mukutano wakwanza ya utangazaji wa injili chini ya hema iliyo fanyika kwa Juni, 1948. Karibu ya Juni, 14, 1948, ndipo David Ben-Gurion alitangaza kuanza kwa Ichi ya Israeli.

Kwa Juni, 1949, wakati wa mikutano ya ajabu ya kipentecosti huko Hambourg, ndipo nilipo pokea ubatizo wa Roho Mtakatifu. Kwa Ogusti 1955 huko Karlsuhe, ni lihuzuria mara ya kwanza mukutano wa ndugu Branham na sikuya jumatatu, 15, 1955, nili mkuta nikiwa pekeyangu mara ya kwanza. Siku Juni, 12, 1958 huko Dallas huko Taxas, nilipata mudawakuongea naye maongezi ya kutosha. Siku, Aprili, 2, 1962 nilipata mwito wa hudma yangu kwa namna ya mazoezi ya yangu. Kwa kweli tangu wakati ule naweza kusema, „Maisha yangu yamekuwa katika kazi ya BWANA wangu, kwenye miji ya karibu hata na kwa inchi za mbali.“

Nime kwisha toa ushuhuda wa mazoezi yangu yenye nguvu nyingi mara ya siku Aprili, 2, 1962. Ninataka niseme tena kuhusu vitendo vilivyo tendeka kwa mwaka 1962. Kupita simu nilitayarisha mazungumuzo ya kipekee pamoja na ndugu Branham huko Jeffersonville kwe mwanzo ya mwezi wa Disemba. Siku ya Jumapili, 2, Disemba nilikaa pamoja na waabudu kwenye maskani ya ndugu Branham. Hapo mchungaji ndugu Neville, aliomba makutano wasimame kwa ajili ya maombi, Ndugu Heckerson ali paaza sauti kubwa: „Asema BWANA Mungu: Mwanangu Frank, haukuvuka bahari kubwa kwa bure. Usikate tumaini kwa sababu hukumkuta nabiiwangu siku ya jana, utakutana naye siku ya kesho, naye atakueleza yote yaliyo moyoni mwako“.

Mchungaji Neville aliniita katika mikutano miwili nilio shiriki kuwa na Neno mbele ya kusanyiko. Nilikuwa na heri ya kuhubiri mara mbili kwenye madhabahu ambapo nabii alihubiria mahubiri yake.

Ilitimia kama vile Ndugu Hickerson alivyo isema katika unabii: Ndugu Branham alinitoa kwenye Hotel siku ya Jumatatu, na tuliongea kwamuda mrefu. Mbele ya wandugu wawili, Fred Sothman na Banks wood, nabii alirudilia maneno ambao BWANA alikuwa ameniambia siku, Aprili, 2, 1962. Aliniambia kwamba njaa haiku linganishwa na chakule cha mwili, kama vile nilivyo wazia baali ilikuwa ni chakula cha Kiroho ambacho ningeweza kugawa. Ndugu Branham alishushuhudia mwito wangu kupitia ufunuo na alijibu maswali yaliyo kuwe moto katika moyo wangu. Kwa kumaliza, alisema: „Ndugu Frank subiri kwa ugawiji wa chakula mpaka utakapo pata mabaki yake“. Mabaki yana kutwa katika mahubiri Kuhusu mihuri saba ya machi, 1963 mpaka kwa mahubiri ya mutu wa Mungu kwa Disemba, 1965, ambao ilitumwa kwangu. Ni kwa wakati huo ugawaji wa chakula ungelianza.

Ugawaji wa chakula cha kiroho unastahili kuwemo na utangazaji wa Neno lililo andikwa: „Angalia, sikuinakuja, asema BWANA Mungu, ambazo nitaleta njaa katika Nchi; si njaa ya kukosa chakula, wala kiu ya kukosa maji, baali ya kukosa kuyasikia maneno ya BWANA…“ (Amos 8:11) BWANA alisema: „Imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Mungu.“ (Mt 4:4)

Mwito ya hudma niya muhimu kwangu kama vile BWANA alivyo ongea na Ibrahimu katika mwanzo 12 na Musa katika kutoka 3 na Yoshua katika sura ya kwanza ao kama vile ilivyo kuwa hata kwa Yohana mbatizaji katika Luka 3, na kwa Paulo katika Matendo 9 na kwa Ndugu Branham siku Juni, 11, 1933 na siku Mai, 7, 1946. Kila kuitwa na kutumwa kwa Kimungu kulikuwa kukia mbatanishwa na mpango wa Okuvu wa Mungu: „Kweli, kweli na waambieni: anayempokea mtu Yule ni nayemtuma, anipokea; naye anaye nipokea mimi, anampokea Yule aliye nituma.“ (Yn 13:20)

Tena ikafika siku ya Jumapili, Septemba, 1976, wakati BWANA mwaminifu aliiweka utume aliyo nipa katika maandiko: „Mutumishi wangu, nimekuweka kulingana na Mt 24:45-47 kwa ugawaji wachakula kwa wakati unao faa“.

Ndugu Branham aliona katika ono ginsi alivyo weka chakula tofauti kwenye rafu. Aliongea kuhusu hiyo siku Aprili, 1, na siku Disemba, 30, 1962. Nimepewa utume Wa Kimungu wa kutayarisha vema chakula kilicho wekwa na kukiweka kwenye meza ya BWANA kwa ajili ya taifa la Mungu. Na wandugu wote duniani pote wana gawa chakula kile kile cha kiroho, wakati wanapo hubiri Neno lililo funuliwa.